Ndoto ya kupaa na kuelea hewani huku unakatiza mitaa

Ndoto ya kupaa na kuelea hewani huku unakatiza mitaa

Mshukuru sana huyo rafiki yako maana wewe ulikuwa ndio unaenda kimoja hivyo. Baada ya 40 watu wangeanza kugawana mali zako😁😁
 
hiyo ndoto ni nzuri sana inaonesha una windwa na maadui lakini hawawezi kukupata.

Na usije ukajaribu kumwambia hata mganga maana una ulinzi wa asili sana.
Kumbuka baada ya kukutana na Rafiki yake hakuweza tena kuruka.
 
Hahahaha hii ndoto ni ya kipumbavu sana, halafu usikute sisi binadamu kuna ndoto fulani fulani za kipumbavu huwaga tunaota wote sema hatupati muda wa kujadili kwa pamoja tu.

Kwa mfano mbali na hiyo, mimi kuna moja naotaga mara kwa mara kuwa nikiwa natembea zile sehemu zenye michanga michanga barabarani nikienda kutifua tifua nakuta sarafu nyingi sana za pesa yani ni mwendo wa kuziokota kiubwelelele kabisa yani kila unapogusa masarafu tu basi akili inakuwa imeridhika unakuwa kwenye extreme level ya comfort zone ila kimbembe ukiamka sasa [emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ndoto mm nilikuwa naota zamani sana nikiwa mdogo na nilikuwa na bahati sana ya kuokota pesa
Ila Kimbembe siku moja usiku nikaota nimeokota mapesa mengi afu nikayaficha uvunguni mwa kitanda
Asubuhi nilivyoamka si nikachungulia uvunguni niangalie pesa zangu? Nikakumbana na kibubu cha mamangu mdogo kimejaa pesa afu kuna pesa zilikuwa juu juu yaan ukivuta tuu imetoka
Mm nikajua ndo zile pesa zangu
Basi kila siku nachomoa jero buku buku mbili hiyo siri yangu simwambii mtu
Nilivyoona pesa haziishi zaidi ya wiki nikamshirikisha mdogo wangu
Mwenyewe anakuja kuchukua kibubu tushatumia pesa kibao kibubu kimebaki nusu
Lakini mpaka leo hakujua kuwa ni mimi
 
Hahahaha hii ndoto ni ya kipumbavu sana, halafu usikute sisi binadamu kuna ndoto fulani fulani za kipumbavu huwaga tunaota wote sema hatupati muda wa kujadili kwa pamoja tu.

Kwa mfano mbali na hiyo, mimi kuna moja naotaga mara kwa mara kuwa nikiwa natembea zile sehemu zenye michanga michanga barabarani nikienda kutifua tifua nakuta sarafu nyingi sana za pesa yani ni mwendo wa kuziokota kiubwelelele kabisa yani kila unapogusa masarafu tu basi akili inakuwa imeridhika unakuwa kwenye extreme level ya comfort zone ila kimbembe ukiamka sasa [emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hii kitu inanikutaga hata mimi aisee[emoji28]
 
Mim huwa naota kuna mji naenda hauna watu ni mim tu na nakuwa naona nahisi kuwa nishawah kuishi hapo lakin sipajui wala siujui huo mji nishaota kama mara 5 hapo Nna muda sijaota tena
 
Back
Top Bottom