Ndoto ya kuwa state MC

Ndoto ya kuwa state MC

Infiltrator

Senior Member
Joined
May 13, 2017
Posts
126
Reaction score
227
Habari zenu wapendwa.

Mimi ni mwanafunzi wa Diploma ya Uandishi wa habari mwaka wa pili. Nina ndoto ya kuwa Mshehereshaji wa matukio makubwa ya kiserikali hususani Yale ya mh Rais.

Naomba ushauri, je napaswa kufanya Nini ili niweze kutimiza ndoto yangu hiyo huku nikiendelea kusoma zaidi?. Je ni fani gani ya ziada ninayopaswa kujifunza ili kuongeza unene wa wasifu kazi wangu?.

Karibuni
 
Sijawahi kusheheresha tukio lolote, nimeamua kujifunza Uandishi wa habari kwa dhumuni la kupata ujuzi ambao utapelekea Mimi kutimiza ndoto yangu.

Naomba unishauri Mr Daudi Mchambuzi
Mkuu sina nia ya kukatisha tamaa, ila hicho unachokitaka huwezi kuanza kwa kujifunza darasani.
Anza kuwa mc wa bure kuanzia kwenye birthday party za nyumbani kwenu, kipaimara nk na shuhuli za jamii zinazokuzunguka ndiyo utajua kama una kipaji hicho au la hasha.
 
Back
Top Bottom