lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Kwani unadhani Kila anaeanza kuvamia ndio mchokozi?kwan nan alianza mvamia mwenzie? mbona mnaoesha upeo mdg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unadhani Kila anaeanza kuvamia ndio mchokozi?kwan nan alianza mvamia mwenzie? mbona mnaoesha upeo mdg
Huyo ni mbishi mpya,utapata taabu sana.maana inaonesha mijadala ya mwanzo hakuwepo,alikua anajiandaa na mitihani ya Fomu foo.Unadhani kama usuluhishi ungekua unafanikiwa mara zote ungekua unaona vita
Ilitakiwa ujiulize kama sehemu za usuluhishi zipo kwanini watu wanakua na majeshi
Nzi aliyekuwa anasubiriwa kuingia kwenye ulimbo,anasogea karibu kuingiaSasa hivi Marekani na NATO kwa ujumla wanajiondoa mdogo mdogo na zigo lote wanamwachia Zelensky na Ukraine yake!
Ushindi ungepatikana wangesema ni wao wameshinda, lakini kwa sasa wanadai Ukraine inashindwa!
Hata yule aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza aliyeizuia Ukraine kufikia makubaliano ya amani na Urusi kesharuka kimanga tayari na kusema hahusiki!
kwann mmeenda ICJ ?Unadhani kama usuluhishi ungekua unafanikiwa mara zote ungekua unaona vita
Ilitakiwa ujiulize kama sehemu za usuluhishi zipo kwanini watu wanakua na majeshi
Sasa hivi Marekani na NATO kwa ujumla wanajiondoa mdogo mdogo na zigo lote wanamwachia Zelensky na Ukraine yake!
Ushindi ungepatikana wangesema ni wao wameshinda, lakini kwa sasa wanadai Ukraine inashindwa!
Hata yule aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza aliyeizuia Ukraine kufikia makubaliano ya amani na Urusi kesharuka kimanga tayari na kusema hahusiki!
Ameshiba maharage añakuja kuongea mashuduNa wewe kama hujui kitu kaa kimya siyo kujiaibisha tu hapa
Hehee usijali hawa nawaweza nawatia za utosi tuuuuHuyo ni mbishi mpya,utapata taabu sana.maana inaonesha mijadala ya mwanzo hakuwepo,alikua anajiandaa na mitihani ya Fomu foo.
Tumeenda ICJ mimi na nani mzee??? 🤔🤔🤔
Sio rahisi kuichukua Ukraine [emoji1255] yoteNini kitafata.
Putin atanyakua eneo lopi lingine? AU ataeza Ukraine nzima?
Why not??? Anamega kidogo kidogo.Sio rahisi kuichukua Ukraine [emoji1255] yote
Majuzi Kuna dogo kadakwa pale Poland et anatafta mbinu za kumuua Zelensky.....kimoyo moyo nikasema huyu comedian siku zake zinahesabikaUkiona windwa kwa wameanza kusema hadharani kuhusu kushindwa kwa ukraine (si kushindwa kwa NATO) ujue maji yamezidi unga!! Kinachotafuitwa ni namna ya kujitoa huku mbuzi wa kafara akitafutwa!!