JKT Suma hua wanafanya consultation kwny shughuli hio,pia na wao huko ziwa victoria wana mradi kama huo boss.Nina mpango wa kufuga sato ziwan victoria kwa mfumo wa cages. Lakin zaid nataman wateja wangu hasa Dodoma na Dar wamle huyo sato kwa kumnunua akiwa hai. Maadam anavuliwa akiwa hai. Naomba kujua consultant wa wazo langu. Naona wachina uganda wamefanya vizur sana eneo hili. Ndoto hii ikikwama sijui Mungu nitamwambia dunia niliitendea nini!
Wale hawana ushirikiano katika hili kabsa. Hadi ziwan wanakaa wenyewe.Ni wazo zuri sana ,ungeangalia hao wachina walivyoweza alafu we ukaboresha zaid...naamini inawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi SUMA JKT kwa suala kama hili hadi uende huko musoma walipofungua mrad au wana department dar? Neno JKT nalo linapunguza nguv ya kuwafata!JKT Suma hua wanafanya consultation kwny shughuli hio,pia na wao huko ziwa victoria wana mradi kama huo boss.
All the best.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani JKT Suma wana branch kila mkoa unaweza kwenda kwny branch yao iliyoko kwnye mkoa uliopo wakakupa maelekezo.Hivi SUMA JKT kwa suala kama hili hadi uende huko musoma walipofungua mrad au wana department dar? Neno JKT nalo linapunguza nguv ya kuwafata!
Ni wazo zuri mkuu. Utafanikiwa. Japo mimi sipendi kula samaki wa kulishwa vyakula,anakuwa tofauti kabisaaa radha na nauture
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtawazoea tu.Wanakuwaga wamepoa!...hapo na mm nilishindwa!lakini huenda ni mradi mzuri ukipata soko la uhakika
Na sio kwamba sipendi tu,ila siwatumii kabisa. Ni sawa na hawa kuku kuku hawa wa kisasa na mayai yake sili kabisaWanakuwaga wamepoa!...hapo na mm nilishindwa!lakini huenda ni mradi mzuri ukipata soko la uhakika
Na sio kwamba sipendi tu,ila siwatumii kabisa. Ni sawa na hawa kuku kuku hawa wa kisasa na mayai yake sili kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh...! Weweeeee...[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]. Sitaki kabisa. Hata kudanganywa kwamba sijui ni wa nini wa nini sitaki. Nikija dar ni matunda tu na samaki freshMie hao nimeshindwa kuacha!ukiwatia spices weeeeeeee![emoji39][emoji39][emoji39]
Mmmh...! Weweeeee...[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]. Sitaki kabisa. Hata kudanganywa kwamba sijui ni wa nini wa nini sitaki. Nikija dar ni matunda tu na samaki fresh
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nitamuonja ukimtengeneza wewe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha woga ww!hhaha...mie nakula aisee!tena umtie pilipili manga[emoji39][emoji39]
70% ya matunda yanauzwa Dar pia ni zao la hybrid so kula vitu artificial kwa dunia ya leo haiepukiki mfano ukila papai la Dar basi ujue mche wake ulipandwa miezi sita hadi nane iliyopita vivyo hivyo mapera na kuna machungwa yanauzwa hasa kipindi hiki unabaki kushangaa tu jinsi yalivyo.Mmmh...! Weweeeee...[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]. Sitaki kabisa. Hata kudanganywa kwamba sijui ni wa nini wa nini sitaki. Nikija dar ni matunda tu na samaki fresh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu. Wazungu wametukamatia kweli. Siku hizi mbolea za kemikali hadi kwenye miche ya matunda na yanapuliziwa dawa pia ya kuua wadudu. Lakini huwezi kulinganisha na samaki wa kufugwa. Hawana test hata kidogo ya samaki,ni kama madudu. Ziwa nyasa limegawanyika,kuna upande wa malawi na Tz. Upande wa malawi wanafuga samaki ziwani. Yaani wanatenga eneo humo ziwani ambalo wavuvi hawatakiwi kulifikia kuvua. Hapo wanakuwa wanapeleka chakula mara kwa mara humo ziwani. Inafika kipindi serikali inawavua hao samaki mahala hapo,wanawauzia watu wa kuwatembeza mitaani. Wanawaleta mpaka upande wa Tz,lakini hawapati wateja kabisa,wananunua wapita njia wasio wenyeji. Lakini ukimuona huyo samaki kanona kichizi, lakini ndani kumla madudu kabisa70% ya matunda yanauzwa Dar pia ni zao la hybrid so kula vitu artificial kwa dunia ya leo haiepukiki mfano ukila papai la Dar basi ujue mche wake ulipandwa miezi sita hadi nane iliyopita vivyo hivyo mapera na kuna machungwa yanauzwa hasa kipindi hiki unabaki kushangaa tu jinsi yalivyo.
Sent using mazonge yamezidi