Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Nina mpango wa kufuga sato ziwani Victoria kwa mfumo wa cages. Lakini zaid natamani wateja wangu hasa Dodoma na Dar wamle huyo sato kwa kumnunua akiwa hai. Maadam anavuliwa akiwa hai.
Naomba kujua consultant wa wazo langu. Naona wachina uganda wamefanya vizuri sana eneo hili. Ndoto hii ikikwama sijui Mungu nitamwambia dunia niliitendea nini!
Naomba kujua consultant wa wazo langu. Naona wachina uganda wamefanya vizuri sana eneo hili. Ndoto hii ikikwama sijui Mungu nitamwambia dunia niliitendea nini!