Ndoto yangu: Watanzania niwauzie sato anayeishi

Haha nilikuwepo huko mwezi wa 11mwaka jana nimejionea uhalisia mkuu...ila wale dagaa ni bonge la dili mzee.

Sent using mazonge yamezidi
 
Haha nilikuwepo huko mwezi wa 11mwaka jana nimejionea uhalisia mkuu...ila wale dagaa ni bonge la dili mzee.

Sent using mazonge yamezidi
Karibu sana mkuu. Dagaa hawana shida ksbb wote wanatoka upande wa Tz. Hata samaki wenye wanaliwa kwa wingi ni hawa wanaovuliwa upande wa Tz hao wako vizuri sana. Na ziwa nyasa lina samaki watamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…