G.Jacob
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 3,618
- 3,478
Haha nilikuwepo huko mwezi wa 11mwaka jana nimejionea uhalisia mkuu...ila wale dagaa ni bonge la dili mzee.Ni kweli mkuu. Wazungu wametukamatia kweli. Siku hizi mbolea za kemikali hadi kwenye miche ya matunda na yanapuliziwa dawa pia ya kuua wadudu. Lakini huwezi kulinganisha na samaki wa kufugwa. Hawana test hata kidogo ya samaki,ni kama madudu. Ziwa nyasa limegawanyika,kuna upande wa malawi na Tz. Upande wa malawi wanafuga samaki ziwani. Yaani wanatenga eneo humo ziwani ambalo wavuvi hawatakiwi kulifikia kuvua. Hapo wanakuwa wanapeleka chakula mara kwa mara humo ziwani. Inafika kipindi serikali inawavua hao samaki mahala hapo,wanawauzia watu wa kuwatembeza mitaani. Wanawaleta mpaka upande wa Tz,lakini hawapati wateja kabisa,wananunua wapita njia wasio wenyeji. Lakini ukimuona huyo samaki kanona kichizi, lakini ndani kumla madudu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using mazonge yamezidi