Utalia lia sana lkn habari ndiyo hiyoooooNdo maana nasema unatumia kichwa gan kufikir, kama cha chini bas nsikushangae?
Em jibu hoja acha blablaa. Sikai chato ila napajua chato na kwa kuwa umeleta madai ya kuwa chato ni kijijin bas ni haki yako kuthibitisha madai yako. Nasubir uthibitisho wa chato ni kijijin?
Mimi na watanzania wenzangu zaidi ya 50 millionWewe na nani? [emoji1787] Maana mie siko kwenye huo mkumbo.
1.Em thibitisha alikua anavuta mda unless hiz umeandika ni blablaa hazina mashiko.Hakuna vigezo alikuwa anavuta mda
Kwishaaaa kwishaaaaa kwishaaaa1.Em thibitisha alikua anavuta mda unless hiz umeandika ni blablaa hazina mashiko.
2.Kama alikua anavuta mda bas tafsir ni kwamba chato haikua na vigezo and alisubir iwe na vigezo ndo ipewe hadhi ya mkoa, swali why avute mda?
Haibadilishi chochote zaidi ya allocation ya resources kubadilika tu. Wakiiba kina JK na genge lake wao ni sahihi au sio maana mnanufaika na uhuni wao au sio.Kwishaaaa habari za chato
Unawasemea tu ila wao huenda hawana habari, anyway kuna kongamano lenu ameliandaa meya wa jiji tarehe 14 hapo Ukumbi wa Karimjee, mkatambulike rasmi sasa. Zuchu na wasanii wengine watakuwepo usikose bro!!!Mimi na watanzania wenzangu zaidi ya 50 million
Bado ujaleta uthibitisho wa madai yako.Umiza kichwa ulete madai kaka [emoji23][emoji23][emoji23] unless unabwabwajaKwishaaaa habari za chato
Kwani Chato ni usukumani ? Hiyo kwa asili ni usubi ila kwa sababu wasukuma ni wengi wameshateka maeneo yote ya wila ya Chato, Biharamulo na sasa Muleba inatikiswa kila siku ili nayo iwe sukumaland.Baada ya kusikia kuwa sukuma gang wanataka mkoa wahaya wakasanuka
Sina muda huoBado ujaleta uthibitisho wa madai yako.Umiza kichwa ulete madai kaka [emoji23][emoji23][emoji23] unless unabwabwaja
Vyovyote vile iwavyo tunachofurahia ni chato kukosa heshima ya kuwa mkoaKwani Chato ni usukumani ? Hiyo kwa asili ni usubi ila kwa sababu wasukuma ni wengi wameshateka maeneo yote ya wila ya Chato, Biharamulo na sasa Muleba inatikiswa kila siku ili nayo iwe sukumaland.
Sio huna muda ni huna akili za kutunga hoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina muda huo
Sina muda huo
Naona ulikumbwa na zoezi la vyeti fake siyo bure.Vyovyote vile iwavyo tunachofurahia ni chato kukosa heshima ya kuwa mkoa
Bora kahama ndo iwe mkoa maana ina watu milion 1 na lak2,ina halmashauli tatu inashughuli nyingi za kiuchumi,eneo ni kubwa kuliko kilimanjaro na dsm.lakin ina nafas ya kuongeza eneo kutoka tabora,wilaya za ulyankylu kaliua,uyui kidogo,na nzega,hata mbogwe nikarib zaid kuja kahama chin ya km 50,kuliko kwenda geita zaid ya km 100.Hakuna vigezo alikuwa anavuta mda
Kwani Makonda alikuwa na vyeti original?Naona ulikumbwa na zoezi la vyeti fake siyo bure.
KwishaaaaaaaaSio huna muda ni huna akili za kutunga hoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mkoa mtausikia kwenye radio Kwiizeeraaa tuSio huna muda ni huna akili za kutunga hoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna hoja bana TOKA [emoji41]Kwishaaaaaaaa
Kipaumbele sio chato kuwa mkoa.Kipaumbele ni kudeal na nyiny wakosa akili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo mkoa mtausikia kwenye radio Kwiizeeraaa tu
Kajinyonge pale burigiHuna hoja bana TOKA [emoji41]