Hivi hawa watu wanajua maana ya ndoto.?? Km walijua wanataka kuwa viongozi baadae kwann wafanye ukahaba hadharani...hii ndio shida ya kuishi bila malengo...wanaruka ruka tu....
Kuishi kwa malengo ni muhimu..ona sasa wanajiabishisha .mipicha ya uchi yao imejaa kibao mtandaonj...wamuongoze nani..labda wa type zao...