Chizy Za kitaa
Senior Member
- Jan 7, 2014
- 167
- 13
nimemaliza 4mfour 2012 Nilipata points26, Civ- d, geo- d, histr- c, kisw- c, eng- d, bios- d, chem- d, math- f
Tangu nipo primary school niltaman niwe mwandish wa habar, but naona nitashindwa kutmiza malengo kwa sababu wanaonisomesha wanataka niende ualimu huku wakidai uandish wa habar hauna ajira, cjajua nifanyeje ambapo mimi cfikirii kuwa ticha. ushaur wenu naomba ili niweze timiza ndoto zangu hata km ni kwa baadae.
Tangu nipo primary school niltaman niwe mwandish wa habar, but naona nitashindwa kutmiza malengo kwa sababu wanaonisomesha wanataka niende ualimu huku wakidai uandish wa habar hauna ajira, cjajua nifanyeje ambapo mimi cfikirii kuwa ticha. ushaur wenu naomba ili niweze timiza ndoto zangu hata km ni kwa baadae.