Mimi Bibi Yenu Mpambanaji
Senior Member
- Oct 6, 2024
- 147
- 303
Duh.. AiseeeUmemmiss sana au labda anakuomba bila kujua ukamuombee( wenye mapovu yenu pita kuleee)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.. AiseeeUmemmiss sana au labda anakuomba bila kujua ukamuombee( wenye mapovu yenu pita kuleee)
Hii umeota kweli au umeandika tu just kufurahisha genge?😊😊Nimeota niko na Reginald Mengi, tuko na Lusajo Mwaisaka, Robo Cop, nimeshika kitabu, kimeandikwa 66, basi, nikamwambia Mengi kesho nitakuwa na miaka 6, basi kesho yake 10/03 akaja amevaa ngongoti, kuna muda akapoteza balance, akataka kuanguka, nikamuwahi kuzuia asianguke. Akasema yupo vizuri, nikamwambia ni lazima uende Hospitali. Akaliachia fumbo ndefu na kibakuli cha DHAHABU.
CC:-
sajjo
Ulishiba au ulikuwa umepata biaHabari za usiku wakuu,
Nimetoka kazini jioni ya leo
Saa kumi na mbili hivi jioni nimelala nimeamka sasa hivi ati nimeota best friend wangu wa pekee niliyewahi kuwa nae aliyefariki miaka zaidi ya 8 iliyopita
Kitaalamu ina maana yoyote? Manake ndani ya wiki mbili hizi namuota sana
Wewe kama mimi1. Ndoto zingine hutokana na mawazo tu au kazi nyingi
2. Ndoto za vifo, au kuwa shuleni au kufukuzwa na wanyama wakali...hapa kuna tatizo.
Note; ndoto hutegemea na muotaji.
Mimi kama nimeota ndoto ya kweli itakayotokea huwa ninaamka na huxuni sana na hii imenitokea mara nyingi na matokeo huwa ni 100%
2012Halafu alifariki around miezi hii 😭
Just easyPole sana mkuu
Ulikuwa na uchovu sanaHapana
Sikuwa nimeshiba halafu sinywi pombe
Nijuavyo Mimi kama unaota ndoto za mfu sanaaa basi Kuna Jambo anataka kukwambia la msingi sana na pia zingatia Yale maneno mnayopiga stori Kuna code ndani yake.Habari za usiku wakuu,
Nimetoka kazini jioni ya leo
Saa kumi na mbili hivi jioni nimelala nimeamka sasa hivi ati nimeota best friend wangu wa pekee niliyewahi kuwa nae aliyefariki miaka zaidi ya 8 iliyopita
Kitaalamu ina maana yoyote? Manake ndani ya wiki mbili hizi namuota sana
Mimi nachokumbuka yupo kwenye ndoto lakini ndoto inahusu nini sikumbuki hataNijuavyo Mimi kama unaota ndoto za mfu sanaaa basi Kuna Jambo anataka kukwambia la msingi sana na pia zingatia Yale maneno mnayopiga stori Kuna code ndani yake.
Ila ukiota mfu anakuita daah hiyo Ngoma inakuita Sana.
Ukimuona mfu ndotoni analia Sana basi kifo chake ni cha dhulma (MSUKULE)
KyHabari za usiku wakuu,
Nimetoka kazini jioni ya leo
Saa kumi na mbili hivi jioni nimelala nimeamka sasa hivi ati nimeota best friend wangu wa pekee niliyewahi kuwa nae aliyefariki miaka zaidi ya 8 iliyopita
Kitaalamu ina maana yoyote? Manake ndani ya wiki mbili hizi namuota sana
Hii hata Mimi hua inanitokea sana mda mwingine naweza kuota ndoto ikanifanya nisiwe na raha tu, mda mwingine naweza nisiote ndoto lakini gafla nikakosa amani tu...hapo nikipiga simu Kwa watu wa karibu lazima nipate taarifa flani mara nyingi inakua sio nzuriMimi kama nimeota ndoto ya kweli itakayotokea huwa ninaamka na huxuni sana na hii imenitokea mara nyingi na matokeo huwa ni 100%