Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
I see.Wewe kama mimi
mimi siku mbaya naijua... kama timu yangu itapoteza mechi ñajua, kama kuna mgeni au furaha najua.
Vyote kupitia ndoto tu.
Kizuri inatakiwa uujue mwili wako,
yaani mimi ndoto ya kweli najua na ndoto za aliniacha za bla bla nazijua.