Ndoto

Buswelu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2007
Posts
1,998
Reaction score
356
Jamaa 1 alikuwa kila siku anaota panya wanacheza mpira akaenda kwa mganga...ili aziondoe hizo ndoto.Mganga akampa dawa ambayo alitakiwa anywe leo kama sharti ili ndoto ziishe.

Jamaa akamwambia mganga mi sinywi leo ntakunywa kesho...alipo ulizwa kwanini akamwambia leo ndio fainali.
 
asante mkuu.Umenikumbusha jamaa mmoja aliamshwa usiku ili aweze kujisomea kwani kesho yake walikuwa wanafanya mtihani.Baada ya kuamshwa jamaa akaanza kulaumu kwanini ameamshwa wakati ule.Alipoulizwa kwa nini anawaka wakati alisema aamshwe wakati ule,akasema unajua nilikuwa naota mwalimu ametuleta mtihani tutakaofanya kesho.Sasa pale mliponiamsha ndo mwalimu alikuwa anataka kuanza kutupa majibu ya mtihani.Jamaa alitamani alale tena labda ndoto itaendelea.
 
This is a GREAT joke,nimecheka sana,hata mimi nisingekubali kuikosa FAINALI!
 

Baba 3 hii joke yako mbona inakidhi viwango iweke peke yake itasimama.
 
Mwingine alikuwa anaota akifanya mapenzi na njemba wake kipenzi aliyekuwa anaishi mji wa mbali. Wakati akiwa katikati kileleni katika ndoto kiranja wa bweni alilokuwa amelala akamwamsha akimwambia kwamba kengere ya kufanya usafi ilishapigwa kitambo. Dada alipoamka akamwambia yule kiranja "haiwezekani, lazima nimalizie kilele ndo nikafanye usafi", kilichoendelea yule dada akawa anayasokota mauno live katika jitihada za kumalizia kilele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…