Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 356
Jamaa 1 alikuwa kila siku anaota panya wanacheza mpira akaenda kwa mganga...ili aziondoe hizo ndoto.Mganga akampa dawa ambayo alitakiwa anywe leo kama sharti ili ndoto ziishe.
Jamaa akamwambia mganga mi sinywi leo ntakunywa kesho...alipo ulizwa kwanini akamwambia leo ndio fainali.
Jamaa akamwambia mganga mi sinywi leo ntakunywa kesho...alipo ulizwa kwanini akamwambia leo ndio fainali.