Ndubu ni samaki wa ajabu anayepatikana Ziwa Tanganyika

Ndubu ni samaki wa ajabu anayepatikana Ziwa Tanganyika

Huku Kigoma lazima kuna siku nije niende. Nataka nikale migebuka fresh from ziwani.

Nitembelee maeneo mazuri ya huko, niburudike halafu nirudi job kuchakarika na maisha.
 
Ziwa Tanganyika ndiko walitolewa sangara wakaenda kupandikizwa ziwa victoria, sema sangara kule haeleweki sana kama mgebuka, kitoga na ningu, lakini kuna sangara wengi na wakubwa lile ziwa haijapata kutokea
Mkuu, Sangara anaitwa Nile perch. Kwa asili alitolewa Mto Nile. Au Kuna historia tofauti na hilo?
 
images (5).jpeg
 
Samaki huyo mwenye mpomo au Komwe jina lake anaitwa NDUBU, ni samaki mwenye kuvutia kwa macho anapendeza mno akiwa kwenye maji. Samaki huyu ni moja ya kivutio cha watalii katika ziwa letu Tanganyika.

Hutumika kama samaki wa kuliwa ni mtamu sana na mwenye ladha nzuri na pia hutumika kama samaki wa mapambo (aquarium) akiwa kwenye maji humeremeta.

NDUBU hupatikana ziwa Tanganyika wilaya ya Uvinza maeneo ya Kalya, Sibwesa na Buhingu ndiko hupatikana kwa wingi samaki wa mapambo.

Kama ilipendekezwa watoto wa Shule ya msingi wavae Socks za pundamilia Ilikuwa ni kwasababu ya kiashirio cha wanyama hao wafahamike, hivyo basi hakuna budi tuseme socks za pundamilia pia ni Kiwakilishi kizuri cha samaki wetu huyu mtamu. MR NDUBU

Kitaalamu anafahamika kama ''Cyphotilapia frontosa'' kigoma f1 (First Filial), Wapo Jinsia ya kiume na jinsia ya kike.

Utajiri wa ziwa Tanganyika.
Ndubu ni huyu samaki mwenye mistari na komwe

View attachment 2685727
MR NDUBU
View attachment 2685729

MR NDUBU
View attachment 2685730
Cc BICHWA KOMWE -
 
Back
Top Bottom