Mtu anajiita jiwe yeye anajua kila kitu na hashauriki ungekua wewe spika ungefanya nini na watoto wanakutegemea. Uliona kilichomkuta CAG ASAD kwa sasa kusimamia ukweli akakosa kiti chake.
siyo wajinga dogo!!!bali Ndio siasa zilivyo Duniani kote. kupiga kick uonekane na kupangua.
Km huijui siasa!!! Wallah! utarusha ngumi eewe!! Heee!! kila siku vikaoni mpaka utakufa unajiona hivi. na kwa taarfa yako.
siasa imeanzia mbinguni kwa Mungu miaka dahari. Ukijiuliza sana hakuina jibu...
Si unaona wazi kabisa Mungu alikuwa anapiga story na mpinzani wake shetani kuhusu ntu wake yaani Ayubu?...Ebu piga picha ayubu angewaona wanayoongea angejisikiaje??
Pale shetani alipokuwa na yesu nyikani walipiga story sana mpaka wakaagana!! Je wanafunzi wake wangeona wangejisikiaje??
Hata hivo kwa nini Mungu asimtie kitanzi tu shetani?? Mpaka asumbue hivi? Hutapata jibu mpaka kesho. Siasa pia ni ivoivo!!
Ukimpa nafasi ya kujitetea hoja hawakosagi.watakupiga maneno mpaka unakaa chini.na kusema kweli kweli. Usikurupuke kwa mwanasiasa.