Ndugai awadhibiti wanaodhalilisha Bunge

Ndugai awadhibiti wanaodhalilisha Bunge

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kuna watu siku za karibuni wamesahau kuwa bunge ni mhimili na Mh. Job Ndugai ndiye aliye mkuu.

Hali hizi hazina afya hata kidogo:

IMG_20220105_230821_742.jpg


Huku ni zaidi ya kutaka kumchezea sharubu chui aliyejeruhiwa.

IMG_20220105_224219_453.jpg


Mh. Job Ndugai unavyo vyombo vya kutosha chini yako.

Kwa hakika tunaamini unavyo vyote vinavyohitajika kuweza kujilinda kikamilifu.

Sababu, uwezo, nia na hata uungwaji mkono unaotakikana wa kuwashughulikia wanaotaka kukosea haki pasipokuwa na uhalali wowote, vyote unavyo.

Yuko wapi anayetajwa au kujitutumua ambaye usiyeweza wewe kummudu?

Uungwana ni kitu cha bure.

Hauko peke yako Mh. Job Ndugai. Uko na wananchi wenzio na hasa wale wazalendo.

Wito wako wa kwanza mtu kupiga ripoti tume ya maadili itakuwa salamu tosha kwa wote wenye tabia hizi.

Haki hupiganiwa.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Ile kamati ya kinga, haki na madaraka ya bunge iliyowaita akina Pascal Mayalla na Prof. Assad kuwahoji haiwezi kumuita rais Samia na wote wanaomzodoa Ndugai ili wahojiwe?

Kuna tume ya maadili na vikorombwezo vya kutosha kuhakikisha wasiojua hadhi ya bunge bila kujali wao nani wanaweza wakanyooshwa asubuhi asubuhi.

Kwa hakika Mh. Ndugai afanye kama anajikuna sasa.
 
View attachment 2069983

Mh. Job Ndugai unavyo vyombo vya kutosha chini yako.

Kwa hakika tunaamini unavyo vyote vinavyohitajika kuweza kujilinda kikamilifu.

Sababu, uwezo, nia na hata uungwaji mkono unaotakikana wa kuwashughulikia wanaotaka kukosea haki pasipokuwa na uhalali wowote, vyote unavyo.

Yuko wapi anayetajwa au kujitutumua ambaye usiyeweza wewe kummudu?

Uungwana ni kitu cha bure.

Hauko peke yako Mh. Job Ndugai. Uko na wananchi wenzio na hasa wale wazalendo.

Wito wako wa kwanza mtu kupiga ripoti tume ya maadili itakuwa salamu tosha kwa wote wenye tabia hizi.

Haki hupiganiwa.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.
It's too little too late!.
P
 
Kuna tume ya maadili na vikorombwezo vya kutosha kuhakikisha wasiojua hadhi ya bunge bila kujali wao nani wanaweza wakanyooshwa asubuhi asubuhi.

Kwa hakika Mh. Ndugai afanye kama anajikuna sasa.
Duuh! Nchi yetu ngumu sana hii
 
It's too little too late!.
P

It's not there yet. He has to act before it gets there.
 
Ndugai nae kwa zile kauli zake,
aitwe kamati ya maadili na bunge Kama wenzie kina slaa na gwajima

Amri ya nani aitwe anatoa yeye. Hivyo anapowaita nyie tulieni tuli!

Ikimpendeza aitwe yeye atatoa amri hiyo.

Huo ndiyo ulio mgawanyo wa madaraka.
 
Kuna watu siku za karibuni wamesahau kuwa bunge ni mhimili na Mh. Job Ndugai ndiye aliye mkuu.

Hali hizi hazina afya hata kidogo:

View attachment 2069999

Huku ni zaidi ya kutaka kumchezea sharubu chui aliyejeruhiwa.

View attachment 2069983

Mh. Job Ndugai unavyo vyombo vya kutosha chini yako.

Kwa hakika tunaamini unavyo vyote vinavyohitajika kuweza kujilinda kikamilifu.

Sababu, uwezo, nia na hata uungwaji mkono unaotakikana wa kuwashughulikia wanaotaka kukosea haki pasipokuwa na uhalali wowote, vyote unavyo.

Yuko wapi anayetajwa au kujitutumua ambaye usiyeweza wewe kummudu?

Uungwana ni kitu cha bure.

Hauko peke yako Mh. Job Ndugai. Uko na wananchi wenzio na hasa wale wazalendo.

Wito wako wa kwanza mtu kupiga ripoti tume ya maadili itakuwa salamu tosha kwa wote wenye tabia hizi.

Haki hupiganiwa.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Nchi yetu bwana eti Mh Zungu nae anao wananchi wake eti waandamane kwa lipi baya alilofanya Spika? Mbona naona harufu ya udini sasa
 
Nchi yetu bwana eti Mh Zungu nae anao wananchi wake eti waandamane kwa lipi baya alilofanya Spika? Mbona naona harufu ya udini sasa

Hakuna kosa alilofanya Ndugai. Ila kwa ukimya wake asipoangalia watafuta hadi ndani.

Mwendo hapa ilikuwa kushikamana!

Aite wake wawili au watatu tume ya maadili watu wakae sawa.
 
Ile kamati ya kinga, haki na madaraka ya bunge iliyowaita akina Pascal Mayalla na Prof. Assad kuwahoji haiwezi kumuita rais Samia na wote wanaomzodoa Ndugai ili wahojiwe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna tume ya maadili na vikorombwezo vya kutosha kuhakikisha wasiojua hadhi ya bunge bila kujali wao nani wanaweza wakanyooshwa asubuhi asubuhi.

Kwa hakika Mh. Ndugai afanye kama anajikuna sasa.
Wewe jamaa ni taahira wa cha PhD
 
Back
Top Bottom