Ndugai azindua ajenda ya mtoto njiti Dodoma

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Ni katika hafla iliyoandaliwa na taasisi ya Doris mollel leo jijini hapa


Cc Mwananchi

 
Mwambie kuwa, wananchi wamekosa wawakilishi bora humo bungeni. Jamii Ina matatizo ambayo yamekosa utatuzi.
 
Ni jambo zuri, serikali kupitia Wizara ya afya iimarishe huduma ya mama na mtoto ili kuzuia kuzaa njiti kwa na ikitokea kuzaliwa basi ziwepo huduma bora za mtoto njiti kutunzwa hadi kufikia uzito stahiki na kuendelea vizuri.

Nchi za wenzetu mtoto njiti wa uzito Mdogo chini ya 1 kg anazaliwa na kukua vizuri bila kupotea.

Bongo sasa [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…