Ndugai hafai kuwa Spika, CCM mkalieni kikao na kumvua uanachama

Ndugai hafai kuwa Spika, CCM mkalieni kikao na kumvua uanachama

field marshall1

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2017
Posts
1,171
Reaction score
2,732
Huyo Speaker Ndugai ni shida sana kwenye hiki chama, hafai na hana quality ya kuwa mbunge licha ya kuwa speaker. Hivi anavyosema tusikope, anaelewa anachofanya? U.S, UK na nchi zingine zinakopa ili zipeleke uchumi mbele, huyo Ndugai anadai eti tusikope.

Kenya wamekopa na ku-invest kiasi kikubwa ingawa kuna corruption, leo wamekuwa na GDP kubwa ya USD Bil. 109 hivyo wamekuwa nafasi ya 6 kwa uchumi mkubwa Africa, sisi tulikuwa wa 10 kwa kiasi cha USD bil.69.2 na sasa tumekuwa wa 11 tumepitwa na Cote d'Ivore (hawa wamepanda nafasi moja juu).


Tukiwekeza train na ikamalizika, bwawa likaisha, LPG na bandari ya Bagamoyo ITAONGEZA GDP ya Taifa kwa zaidi ya Billioni USD 41 tutaipita Kenya au angalau tutakuwa kwenye 10 bora na watu wetu wataendelea kupata kazi na uchumi kupaa.

Hizi reli, barabara, umeme na ujenzi wa madaraja yatanyanyua uchumi wetu. Haya mambo ya madeni yapo tu na huyawezi kuyakwepa! Kipi bora bwana Ndugu, tukope leo kwa mikopo rahisi na tulipe kwa miaka 20? Au tuendelee kukusanya pesa ndogo ndogo za madafu ambayo itaipelekea reli kumalizika miaka 20 ijayo? Au tuache hizo reli kwa sababu hatuna pesa?

Wewe Ndugai, kama tuliweza kukulipia pesa zako za matibabu yako na hukulalamika, mbona walalamika sana weye?


Marekani wamekopa zaidi ya asilimia 159 (USD Trillion 19.2)ya GDP yao, Japan (254%) Kila mahali wanakopa ili mambo yaende mbele.

Hii kazi isikwame, kila kitu kiendelee. Ndugai aache kupepeta domo. Tuliza boli.
 
Huyo Speaker Ndugai ni shida sana kwenye hiki chama, hafai na hana quality ya kuwa mbunge licha ya kuwa speaker. Hivi anavyosema tusikope, anaelewa anachofanya? U.S, UK na nchi zingine zinakopa ili zipeleke uchumi mbele, huyo Ndugai anadai eti tusikope.

Kenya wamekopa na ku-invest kiasi kikubwa ingawa kuna corruption, leo wamekuwa na GDP kubwa ya USD Bil. 109 hivyo wamekuwa nafasi ya 6 kwa uchumi mkubwa Africa, sisi tulikuwa wa 10 kwa kiasi cha USD bil.69.2 na sasa tumekuwa wa 11 tumepitwa na Cote d'Ivore (hawa wamepanda nafasi moja juu).


Tukiwekeza train na ikamalizika, bwawa likaisha, LPG na bandari ya Bagamoyo ITAONGEZA GDP ya Taifa kwa zaidi ya Billioni USD 41 tutaipita Kenya au angalau tutakuwa kwenye 10 bora na watu wetu wataendelea kupata kazi na uchumi kupaa.

Hizi reli, barabara, umeme na ujenzi wa madaraja yatanyanyua uchumi wetu. Haya mambo ya madeni yapo tu na huyawezi kuyakwepa! Kipi bora bwana Ndugu, tukope leo kwa mikopo rahisi na tulipe kwa miaka 20? Au tuendelee kukusanya pesa ndogo ndogo za madafu ambayo itaipelekea reli kumalizika miaka 20 ijayo? Au tuache hizo reli kwa sababu hatuna pesa?

Wewe Ndugai, kama tuliweza kukulipia pesa zako za matibabu yako na hukulalamika, mbona walalamika sana weye?


Marekani wamekopa zaidi ya asilimia 159 (USD Trillion 19.2)ya GDP yao, Japan (254%) Kila mahali wanakopa ili mambo yaende mbele.

Hii kazi isikwame, kila kitu kiendelee. Ndugai aache kupepeta domo. Tuliza boli.
Hicho kipengele cha watu kupata kazi na uchumi kupaa labda CCM wawe hawapo madarakani😅
 
Huyo Speaker Ndugai ni shida sana kwenye hiki chama, hafai na hana quality ya kuwa mbunge licha ya kuwa speaker. Hivi anavyosema tusikope, anaelewa anachofanya? U.S, UK na nchi zingine zinakopa ili zipeleke uchumi mbele, huyo Ndugai anadai eti tusikope.

Kenya wamekopa na ku-invest kiasi kikubwa ingawa kuna corruption, leo wamekuwa na GDP kubwa ya USD Bil. 109 hivyo wamekuwa nafasi ya 6 kwa uchumi mkubwa Africa, sisi tulikuwa wa 10 kwa kiasi cha USD bil.69.2 na sasa tumekuwa wa 11 tumepitwa na Cote d'Ivore (hawa wamepanda nafasi moja juu).


Tukiwekeza train na ikamalizika, bwawa likaisha, LPG na bandari ya Bagamoyo ITAONGEZA GDP ya Taifa kwa zaidi ya Billioni USD 41 tutaipita Kenya au angalau tutakuwa kwenye 10 bora na watu wetu wataendelea kupata kazi na uchumi kupaa.

Hizi reli, barabara, umeme na ujenzi wa madaraja yatanyanyua uchumi wetu. Haya mambo ya madeni yapo tu na huyawezi kuyakwepa! Kipi bora bwana Ndugu, tukope leo kwa mikopo rahisi na tulipe kwa miaka 20? Au tuendelee kukusanya pesa ndogo ndogo za madafu ambayo itaipelekea reli kumalizika miaka 20 ijayo? Au tuache hizo reli kwa sababu hatuna pesa?

Wewe Ndugai, kama tuliweza kukulipia pesa zako za matibabu yako na hukulalamika, mbona walalamika sana weye?


Marekani wamekopa zaidi ya asilimia 159 (USD Trillion 19.2)ya GDP yao, Japan (254%) Kila mahali wanakopa ili mambo yaende mbele.

Hii kazi isikwame, kila kitu kiendelee. Ndugai aache kupepeta domo. Tuliza boli.



Huyo ndugai hajui Uchumi, kasomea mambo ya uhifadhi wa Mazingira mambo hayo ni mbali kabisa na Uchumi.

Si ndio yeye wakati fulani alimpiga mtu bakora hadharani?!!!🤣
 
Huyo Speaker Ndugai ni shida sana kwenye hiki chama, hafai na hana quality ya kuwa mbunge licha ya kuwa speaker. Hivi anavyosema tusikope, anaelewa anachofanya? U.S, UK na nchi zingine zinakopa ili zipeleke uchumi mbele, huyo Ndugai anadai eti tusikope.

Kenya wamekopa na ku-invest kiasi kikubwa ingawa kuna corruption, leo wamekuwa na GDP kubwa ya USD Bil. 109 hivyo wamekuwa nafasi ya 6 kwa uchumi mkubwa Africa, sisi tulikuwa wa 10 kwa kiasi cha USD bil.69.2 na sasa tumekuwa wa 11 tumepitwa na Cote d'Ivore (hawa wamepanda nafasi moja juu).


Tukiwekeza train na ikamalizika, bwawa likaisha, LPG na bandari ya Bagamoyo ITAONGEZA GDP ya Taifa kwa zaidi ya Billioni USD 41 tutaipita Kenya au angalau tutakuwa kwenye 10 bora na watu wetu wataendelea kupata kazi na uchumi kupaa.

Hizi reli, barabara, umeme na ujenzi wa madaraja yatanyanyua uchumi wetu. Haya mambo ya madeni yapo tu na huyawezi kuyakwepa! Kipi bora bwana Ndugu, tukope leo kwa mikopo rahisi na tulipe kwa miaka 20? Au tuendelee kukusanya pesa ndogo ndogo za madafu ambayo itaipelekea reli kumalizika miaka 20 ijayo? Au tuache hizo reli kwa sababu hatuna pesa?

Wewe Ndugai, kama tuliweza kukulipia pesa zako za matibabu yako na hukulalamika, mbona walalamika sana weye?

Marekani wamekopa zaidi ya asilimia 159 (USD Trillion 19.2)ya GDP yao, Japan (254%) Kila mahali wanakopa ili mambo yaende mbele.


Hii kazi isikwame, kila kitu kiendelee. Ndugai aache kupepeta domo. Tuliza boli.
Unazijua siasa za nchi na CCM ama unazifanyia imaginations tu.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Umeenda mbali, uenda ameeleweka vibaya, naamini atajitokeza kufafanua zaidi.
 
Huyo Speaker Ndugai ni shida sana kwenye hiki chama, hafai na hana quality ya kuwa mbunge licha ya kuwa speaker. Hivi anavyosema tusikope, anaelewa anachofanya? U.S, UK na nchi zingine zinakopa ili zipeleke uchumi mbele, huyo Ndugai anadai eti tusikope.

Kenya wamekopa na ku-invest kiasi kikubwa ingawa kuna corruption, leo wamekuwa na GDP kubwa ya USD Bil. 109 hivyo wamekuwa nafasi ya 6 kwa uchumi mkubwa Africa, sisi tulikuwa wa 10 kwa kiasi cha USD bil.69.2 na sasa tumekuwa wa 11 tumepitwa na Cote d'Ivore (hawa wamepanda nafasi moja juu).


Tukiwekeza train na ikamalizika, bwawa likaisha, LPG na bandari ya Bagamoyo ITAONGEZA GDP ya Taifa kwa zaidi ya Billioni USD 41 tutaipita Kenya au angalau tutakuwa kwenye 10 bora na watu wetu wataendelea kupata kazi na uchumi kupaa.

Hizi reli, barabara, umeme na ujenzi wa madaraja yatanyanyua uchumi wetu. Haya mambo ya madeni yapo tu na huyawezi kuyakwepa! Kipi bora bwana Ndugu, tukope leo kwa mikopo rahisi na tulipe kwa miaka 20? Au tuendelee kukusanya pesa ndogo ndogo za madafu ambayo itaipelekea reli kumalizika miaka 20 ijayo? Au tuache hizo reli kwa sababu hatuna pesa?

Wewe Ndugai, kama tuliweza kukulipia pesa zako za matibabu yako na hukulalamika, mbona walalamika sana weye?


Marekani wamekopa zaidi ya asilimia 159 (USD Trillion 19.2)ya GDP yao, Japan (254%) Kila mahali wanakopa ili mambo yaende mbele.

Hii kazi isikwame, kila kitu kiendelee. Ndugai aache kupepeta domo. Tuliza boli.
Tumkabidhi hiyo kazi Mr. Slow .
 
Huyo ndugai hajui Uchumi, kasomea mambo ya uhifadhi wa Mazingira mambo hayo ni mbali kabisa na Uchumi.

Si ndio yeye wakati fulani alimpiga mtu bakora hadharani?!!!🤣
Tatizo siyo Ndugai pekee ni CCM nzima. Deni la Tanzania linapaa bila uwiano na maendeleo lakini mkiambiwa utetezi unabaki deni ni himilivu. Habari za deni la taifa kupaa kwa supersonic speed imeanza Jana?
 
Huyo Speaker Ndugai ni shida sana kwenye hiki chama, hafai na hana quality ya kuwa mbunge licha ya kuwa speaker. Hivi anavyosema tusikope, anaelewa anachofanya? U.S, UK na nchi zingine zinakopa ili zipeleke uchumi mbele, huyo Ndugai anadai eti tusikope.

Kenya wamekopa na ku-invest kiasi kikubwa ingawa kuna corruption, leo wamekuwa na GDP kubwa ya USD Bil. 109 hivyo wamekuwa nafasi ya 6 kwa uchumi mkubwa Africa, sisi tulikuwa wa 10 kwa kiasi cha USD bil.69.2 na sasa tumekuwa wa 11 tumepitwa na Cote d'Ivore (hawa wamepanda nafasi moja juu).


Tukiwekeza train na ikamalizika, bwawa likaisha, LPG na bandari ya Bagamoyo ITAONGEZA GDP ya Taifa kwa zaidi ya Billioni USD 41 tutaipita Kenya au angalau tutakuwa kwenye 10 bora na watu wetu wataendelea kupata kazi na uchumi kupaa.

Hizi reli, barabara, umeme na ujenzi wa madaraja yatanyanyua uchumi wetu. Haya mambo ya madeni yapo tu na huyawezi kuyakwepa! Kipi bora bwana Ndugu, tukope leo kwa mikopo rahisi na tulipe kwa miaka 20? Au tuendelee kukusanya pesa ndogo ndogo za madafu ambayo itaipelekea reli kumalizika miaka 20 ijayo? Au tuache hizo reli kwa sababu hatuna pesa?

Wewe Ndugai, kama tuliweza kukulipia pesa zako za matibabu yako na hukulalamika, mbona walalamika sana weye?


Marekani wamekopa zaidi ya asilimia 159 (USD Trillion 19.2)ya GDP yao, Japan (254%) Kila mahali wanakopa ili mambo yaende mbele.

Hii kazi isikwame, kila kitu kiendelee. Ndugai aache kupepeta domo. Tuliza boli.
Ndugai amekuwa kama mke mwenza.."anawashwawashwa" Sana..
 
Nadhan Ndugai sio kwamba hataki tukope, ila sio kukopa hela ya miradi ya kijamii kama shule na zahanati.
na suruhisho ya hiyo miladi ilishapata ufumbuzi 'tozo' watu hawajaelewa hii 1.3t nayenyewe imeelekezwa huko huko
 
Fedha zilizokopwa siyo za hiyo miradi ulioitaja ya SGR bali ni kujenga Airport Pemba na vijimradi vya hapa na pale.
 
Back
Top Bottom