Wadau vipi ?
Ndugai akitangaza kujiunga na Chama kikuu cha upinzani mtampa tiketi ya kugombea Uraisi hapo kama ikifika 2025,katika uchaguzi Mkuu?
Bora ajiunge na Chadema, kwani kwa 2025 watakuwa hawana mgombea mazubuti atakae weza kupambana na Samia kama CCM watampitisha Samia kugombea Uraisi.
Yaani mechi kuu ni Ndugai(CHADEMA) Vs Samia (CCM) ,sipati picha vizuri. halafu unakuta Uchaguzi kwa mara ya kwanza hakuna wizi wa kura.
Ndugai akitangaza kujiunga na Chama kikuu cha upinzani mtampa tiketi ya kugombea Uraisi hapo kama ikifika 2025,katika uchaguzi Mkuu?
Bora ajiunge na Chadema, kwani kwa 2025 watakuwa hawana mgombea mazubuti atakae weza kupambana na Samia kama CCM watampitisha Samia kugombea Uraisi.
Yaani mechi kuu ni Ndugai(CHADEMA) Vs Samia (CCM) ,sipati picha vizuri. halafu unakuta Uchaguzi kwa mara ya kwanza hakuna wizi wa kura.