PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Salam zimefika. Nadhani Ndgu mwakyembe ajiangalie. Ule ushauri wa kutaka kupunguza wachezaji wa kigeni kwenye vilabu kwa kutegemea hawa waketu! Hata zile nafasi 4 za uwakilishi caf tutapoteza hivi karibunitu.Amegundua Hili baada ya kufungwa?
Mbona walikuwa wanashindwa kuwanyanganya mpira wachezaji wa Senegal kitaalam wanasema one to one battle Wachezaji wetu wialionekana dhahiri kushindwa
Lishe tu hakuna u giants hapoMambo ya udumavu unaosababishwa na lishe duni upo lakini pia ni species za kitanzania,waganda wana Vimo vya average ya John Boko lakini waliwamudu wakongo wenye miili dizaini ya Senegal urefu na unene
Ko sio sahihi moja kwa moja kusema hiyo ndio sababu,kwa mpira gani tuliocheza hadi hiyo iwe sababu? Species za West/Central and North Africa ni giants kuliko east Africa anbapo wengi ni moderate,wasukuma ni jamii ya west africa
Kama hao mawaziri ni wabovu ni wabovu tu haihusiani na kucheza mpira hata wangecheza ndiyo vilevile tuMwakyembe na Shonza hakuna mahali wamewahi cheza mpira au mchezo wowote leo hii ndio wamepewa wizara unategemea nini
Ahaaaa Ndugai kweli walifungwa kwa ajili ya lishe tu? Kocha Amunike hakuliona hilo la lishe?Watanzania kwa sababu utawajua tu.Dar es Salaam. Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema miongoni mwa sababu iliyochangia Stars kupoteza mchezo wa kwanza jana dhidi ya Senegal ni lishe duni ya wachezaji wetu.
Spika Ndugai ameyasema hayo muda mfupi baada ya kuwasili Dar es Salaam akitokea Misri aliposhuhudia mchezo wa kwanza wa Kombe la Mataifa ya Afrika kati ya Senegal na Tanzania uliomalizika kwa Taifa Stars kuchapwa 2-0.
Ndugai alisema ukiangalia kwa umakini utaona wale wachezaji wa timu pinzani walikuwa na miili mizuri ambayo inatokana na lishe nzuri.
"Kuna umuhimu wa kuwapa wachezaji wetu lishe nzuri ya kutosha ili kushindana na wapinzani wa aina ya Senegal," alisema Ndugai.
Katika hatua nyingine Ndugai alisema viongozi wengi wa soka na michezo mingine hapa nchini siyo watu sahihi wa kuongoza.
Source : Mwananchi
Lishe tu hakuna u giants hapo
Mfano mNigeria chakula anachokula kwa mlo mmoja ni mlo wa siku nzima kwa mtz
Nilichikiandika hapa hakiusiani na ccm na wala sijawahi kuielewa ccm katika maisha yanguHivi mtu ukiwa tu CCM ndo akili zinakuwa boga kabisa...!?
Na mnakubaliana na kauli hiyo ya Speaker!??
East Africa Tanzania ndio kwenye udumavu mkuu, Kenya na Uganda asili yao ni miili mikubwa kwa maana ya vimo na maumbile..tuangalie aina lishe zetu tukiwa watoto na kipindi cha ujauzito wa wake zetu..
Special research inahitajika hapa ili kujenga generation ya watu wenye akili, nguvu, kujisimamia na kujielewa - tunakwama hapa.
Basi usisapoti hiyo kauli ya kijinga ya radio mbao...Nilichikiandika hapa hakiusiani na ccm na wala sijawahi kuielewa ccm katika maisha yangu
udumavu kwa watoto wa tz kwa sasa ni 40%...tatizo lipo kwenye mlo kamili tangu utotono,huko nyuma kula haikua shida,mtazame pondamali,tenga,ken mkapa na wa vizazi hivyo...ngasa hata umlishe vp hawezi kua,spika kaonesha namna gani lishe imempiga chengaMambo ya udumavu unaosababishwa na lishe duni upo lakini pia ni species za kitanzania,waganda wana Vimo vya average ya John Boko lakini waliwamudu wakongo wenye miili dizaini ya Senegal urefu na unene
Ko sio sahihi moja kwa moja kusema hiyo ndio sababu,kwa mpira gani tuliocheza hadi hiyo iwe sababu? Species za West/Central and North Africa ni giants kuliko east Africa anbapo wengi ni moderate,wasukuma ni jamii ya west africa
zilikua faulo za kukwatua visigino..I did not see it that way.
..Nitaangalia mchezo tena ili kujiridhisha.
..Ila nimeona Tz tuli-commit fouls nyingi kuliko wapinzani wetu. Hiyo inaonyesha kuwa sisi ndiyo tulikuwa na mabavu/ maguvu kuliko Senegal.
..Nadhani tunahitaji KIUNGO MCHEZESHAJI mzuri zaidi. Wasenegali walituzidi kwenye upande wa ball possesion and shots attempted. Hiyo ina maana kuwa hatuna kiungo/viuongo wa kumiliki na kusambaza mpira kwa washambuliaji.
Cc ChoiceVariable , severinembena
Ndugai sio mtu anayefaa kuwa kiongozi lakini ukiwa mtu wa kupinga kila kitu wewe utakuwa mwendawazimu hauko sawaBasi usisapoti hiyo kauli ya kijinga ya radio mbao...
udumavu kwa watoto wa tz kwa sasa ni 40%...tatizo lipo kwenye mlo kamili tangu utotono,huko nyuma kula haikua shida,mtazame pondamali,tenga,ken mkapa na wa vizazi hivyo...ngasa hata umlishe vp hawezi kua,spika kaonesha namna gani lishe imempiga chenga
havitengani hivyo vitu,vimo vya watanzania vimepungua sana kizazi hiki kisa mlo kamili ni tabu,nafasi anayocheza messi kimo si hitaji muhimu,plus messi si mchezaji wa kawaidaInaonekana kuna kujichanganya kati ya lishe na kimo. Wengi kwenye huu uzi huenda na spika wanaonyesha lishe ni urefu na unene. Kama hiyo ndio ndio mantiki ya wengi basi Messi asingecheza mpira kabisa. Ni vyema ikawekwa wazi, tatizo ni lishe au kimo cha mtu mmoja mmoja?
Upi huo? Tulizidiwa maarifa na uzoefu au afya? Hata kama hawajapenda matokeo kujiokoteza sababu ilmradi waiponde team yetu haikubaliki!Ha ha ha kuna ukweli hapo ndugu
Na Kwa msiba huu Leo ilistahili bendera Yao ipeperuuke nusu mlingotiTatizo hapo ni ccm