Ndugai: Lishe duni ya wachezaji wetu imechangia Taifa Stars kufungwa

Mbali ya Lishe wabantu sisi wengi wetu ni mbegu fupi
kingine unakuta mfupi anaoa mfupi mwenzie. japo swala la mapenzi unaweza kumpenda yeyote. lakin pia mtu unaezaa nae basi kama wewe ni mfupi hakikisha ni mrefu.
 
Nani humleta kocha maswali fikirishi je kocha hujileta mwenyewe? muundo wa timu ya Taifa ukoje? kamati zinazoibuka za ufundi na nyinginezo kwanini huingilia mipinga ya timu ya Taifa?
 
Nani humleta kocha maswali fikirishi je kocha hujileta mwenyewe? muundo wa timu ya Taifa ukoje? kamati zinazoibuka za ufundi na nyinginezo kwanini huingilia mipinga ya timu ya Taifa?
Sijaelewa kocha kaingiliwa vipi maana kocha kaita wachezaji wake anaowataka
 
Kwani Ndugai kakosea nini japo Zito alimchokonoa makusudi
 
Ukweli usisemwe?Hatuna lishe bora ndomana stamina mbovu,viongozi hawausimamii mpira kisasa wanachotizama ni hela ipatikane...haiwezekani nchi kuuubwa kama mara 6 ya senegal na watu Mara tatu yao alafu wanatufunga kijingajinga wakati nasi futiboli ndomchezo mkuu!!
Kamakonda nako kanaropoka kijingahivi tukifungwa tena na Kenya kataongea mini maana kimsingi sioni tukiwaweza kwa kutizama tuu uchezaji wetu ulivyo teketeke
 
Kweli kocha alinishangaza pale alipopata mpira yupo na kipa alafu akabutua.
 
Kabisa mkuu. Elimu yetu ina kasoro nyingi sana. Haya ilitakiwa watu wajifunze shuleni.

Mti wenye matunda.
Tunaibebesha elimu yetu matatzo kibao kila kitu elimu

Hili swala la lishe mbna linafundshwa toka huku primary mpk secondary

Mambo mengne ni matatzo yetu binafs tusisingizie elimu
 
Ina maana shule vinaingilia na kutokea huku mkuu.
Tunaibebesha elimu yetu matatzo kibao kila kitu elimu

Hili swala la lishe mbna linafundshwa toka huku primary mpk secondary

Mambo mengne ni matatzo yetu binafs tusisingizie elimu
 
Back line ilikuwa inakatikakatika kama ngoma ya mdundiko, ndani ya dk moja mnapigwa mashambulizi kama matano ya hatari, kwa mpira ule sioni kama kuna timu wataifunga
 
Lishe ina nafasi kubwa, ndo maana kwenye ligi ya mpira wa kikapu marekani NBA kama hujafikisha uzito unaotakiwa hawakuruhusu kucheza, utavunjwa mbavu
 
kingine unakuta mfupi anaoa mfupi mwenzie. japo swala la mapenzi unaweza kumpenda yeyote. lakin pia mtu unaezaa nae basi kama wewe ni mfupi hakikisha ni mrefu.
Haya mambo ingekuwa tunapata matokeo mazuri kwa kutumia nguvu basi mbinu za CCM za kutumia mtutu zingefaa sana.
 
Akili nyingine hizi...hivi Lishe duni ni suala la kukurupuka kweli ! Upungufu wa lishe ni suala pana! Hata aliyetoa hoja hii yaelekea ana upungufu wa Lishe !Kwa kuwa Timu ya Taifa huandaliwa Kisayansi ikiwemo suala la lishe kuanzia miaka 0! Kama Kiongozi waJuu wa Serikali alitakiwa ajue hili...na kutojua maana yake na yeye ana akili ndogo iliyosababishwa na udumavu...aka Lishe duni!
 
Lishe duni husabaisha udumavu wa akili .Mojawapo ya vielelezo vya lishe duni ni akili zetu ukubwani1
Mfano ni mtu kama huyo akiwa kiongozi atakuwa na tabia hizi
-Ubabe wa kijinga,inaweza kutokea hata kumpiga mtu fimbo
-Udikteta na kushabikia udikteta
-Ubnafsi
-uzandiki
-Matumizi mabaya ya madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…