Ndugai: Mkitumia lugha hizo tutagawa mbao hapa, shauri yenu...

Ndugai: Mkitumia lugha hizo tutagawa mbao hapa, shauri yenu...

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,330
Ndugai anaposema "Mkileta lugha hizo tutagawana mbao hapa, na hapa ndio mahala pake" Anamaanisha nini huku akitolea mfano wa kauli ya mjumbe kutoka Zanzibar aliyesema Muungano umekuwa unawakandamiza wazinzibar?

Je ni vitisho dhidi ya wanzibar kuwa muda wowote wanaweza kugawana mbao na hivyo kila mtu akabaki na lwake? Ameona kuwa atakuwa anawakomoa wanzibari au atakuwa amewasaidia kuondokana na malalamiko yao ya kila siku dhidi ya dudu la kiini macho linaloitwa Muungano?
 
Kasema kuwa kama Wazanzibar WATAENDELEA kudai uhuru wa Zanzibar basi wanagawanywa mbao, kama kwamba Zanzibar haina haki ya kudai uhuru wao na hajui kuwa katiba ya Zanzibar ilishaitangazia uhuru tangu huko siku zilizopita ......sasa huyu nafikiri anawatishia watu wa Zanzibar na wakati shiksa nitawashangaa sana maana watakuwa nao ni wapiga domo tu.......
 
Ndugai anaposema "Mkileta lugha hizo tutagawana mbao hapa, na hapa ndio mahala pake" Anamaanisha nini huku akitolea mfano wa kauli ya mjume kutoka Zanzibar aliyesema Muungano umekuwa unawakandamiza wazinzibar?

Je ni vitisho dhidi ya wanzibar kuwa muda wowote wanaweza kugawana? Ameona kuwa atakuwa anawakomoa wanzibari?

Uongozi wa Pandu Ameir Kificho ni mzuri sana ukilinganisha na tuliouzoea. Ingewezekana tungempa aendelee mpaka mwisho.
 
Ndugai ana jazba kama fukuto la uji wa ulezi...
 
hivi ndugai haikuwa ndiogei watu wakaandika kimakosa hivyo ilivyosasa???? nauliza tu
 
huu muungano ufe tu

huu ndio muda mwafaka kupata Tanganyika yetu

wanzanzibar walalamishi kafieni mbelee
 
Mkisema mnaitaka Tanganyika sitaki tena kusikia mnataka muungano...! Tumesema ama serikali mbili huru (Tanzania Bara na Zanzibar) ama serikali moja ya muungano.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
..............Lazima hapa nipite haraka sana...........
 
Back
Top Bottom