Kwa hili ndugai yupo sahihi.
Wznz ni walalmishi tu hawaonyeshi wapi wanakandamizwa.
Wzn wamekariri maneno ambayo hawawezi kuyaweka katika hesabu.
Pengine lugha huifahamu vizuri. Wazanzibari si walalamishi bali ni walalamikaji. Badala yake ni kuwa Watanganyika ndio walalamishi kwani wanavutia kwao kila kitu na kuibeza Zanzibar kama mshiriki sawa wa muungano huu. Unapomuonea mtu atalalamika na ndio hali iliopo.
Wamekuja Dodoma wenyewe sasa malalamiko ya nini.
Kama wangejua wanakandamizwa wasingetokea Dodoma kabisa ili TUGAWANE MBAO.
Naam ulitaka wasije na badala yake wangelizungumza hili wapi? Unashangaza sana ikiwa huangalii hilo Bunge linaenda vipi. Mbona kuna malalamiko hata kati ya Watanganyika na Watanganyika, jee nao tuseme wameendea nini huku wakijuwa kuwa kuna kundi moja lenye nguvu?
Ndugai ni mwana JF hasa, hii kauli ni maarufu hapa JF 'Tuvunje jahazi tugawane mbao'.
Ndugai at least ameonyesha uchungu na Tanganyika inayolipa gharama kubwa ya muungano na kupata mgao wa faida ya mitusi na kashfa zisizo na kichwa wala miguu kutoka kwa wznz.
Uchungu wake na wako ni wa uongo kwani kwenye muungano huu nani anafaidi? 43 millioni na 1.5 millioni wepi wanatumia huduma kubwa zaidi, huku kwenye mapato hakuna uiano unaoeleweka?
Narudia, wamekuja Dodoma bila police au kufungwa kamba, sasa wanalalamika nini.
Wangetaka kujikomboa tulishawaambia siku nyingi sana wasije, maana yake wangepata mamlaka kamili na wala wasingekandamizwa.
Wamekuja kwasababu hapo ndipo mlipo kama nyini na Ndungai ili muyasikie watakayoyasema.
Midhali wapo Dodoma wamekubali na sasa wafunge vinywa vyao
Wabebwe halafu wacheze msewe kwenye migongo ya watu! ebo! alaah