Ndugai na Dkt. Bashiru wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna Demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni

Ndugai na Dkt. Bashiru wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna Demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Ukweli mchungu,

Tanzania hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni haupo huu ndio ukweli.

Ndugai na Bashiru uwe mfano hai na mjiulize kama viongozi wanatoa maoni kama hayo na sio kwamba ni kosa lakini wanaandamwa na kutweza itakuaje kwa mwananchi wa kawaida maoni yake yataheshimika kweli?

Bado Tanzania ina mfumo wa kidikteta, na demokrasia inaimbwa ili kuvutia wafadhili na wakopeshaji watoe pesa lakini hakuna kitu cha maana.

Mkumbuke hakuna demokrasia ndio maana hakuna hata maendeleo pamoja na rasilimali.

Nchi imebeba idadi kubwa ya wajinga wasioweza kufikiri isipokua wanawaza matumbo yao tu.
 
Hamna chama cha siasa ambacho wanasiasa wake wapo huru kutoa maoni yao kwenye vyama vyao.

Ukiwa CCM unaonekana huna adabu na uheshimu viongozi wako.

Huku upinzani utaambiwa msaliti na umenunuliwa na ndio maana vyama hivi viongozi wao ni walewale ukiwakosoa tu ukatafute chama kingine au kaanzishe chako.

Kote ni mwendo wa ndio ndio, na ndio mana siasa za kibongo mara zote kuna msimamo wa chama hamna msimamo wa mtu binafsi hata kama huo msimamo hauko sawa.

Swala la mgombea binafsi ni zuri sana I hope kuna siku litapitishwa.
 
Mifano ya kutokuwepo uhuru wa kutoa maoni imekuwepo siku nyingi. Imeanza tangu vyama vingi vilipopigwa marufuku. Yaliyowakuta Kambona, Mwinyi, Mapalala, Jumbe na wengine ni baadhi.

Tunaendesha mambo ya nchi kwa ushabiki. Ushabiki kwa misingi ya ubaguzi. Tunalalamika pale tu tunaowashabikia wanapoguswa.

Tunabaguana kwa dini, kabila, vyama na makundi ya maslahi.
 
Kwa mfano wewe ungekuwa rais wa Tz kwa sasa halafu ndio yanaendelea haya yanayotokea sasa je, ungefanyaje? Ungekausha tu kama Samia au kipi ungeona kinatakiwa kufanywa kwa wakati huu?
 
Hamna chama cha siasa ambacho wanasiasa wake wapo huru kutoa maoni yao kwenye vyama vyao.

Ukiwa CCM unaonekana huna adabu na uheshimu viongozi wako.

Huku upinzani utaambiwa msaliti na umenunuliwa na ndio vyama hivi viongozi wao ni walewale ukiwakosoa tu ukatafute chama kingine au kaanzishe chako.

Kote ni mwendo wa ndio ndio, na ndio mana siasa za kibongo mara zote kuna msimamo wa chama hamna msimamo wa mtu binafsi hata kama huo msimamo hauko sawa.

Swala la mgombea binafsi ni zuri sana I hope kuna siku litapitishwa.
Umeongea mkuu....pata kitu baridi kwa mkinga tutaangalia namna ya kufanya baadae
 
Hawa ndio waasisi wa huu upumbavu, wanavuna walicho panda wao
Ukweli mchungu
Tanzania hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni haupo huu ndio ukweli.
Ndugai na Bashiru uwe mfano hai na mjiulize kama viongozi wanatoa maoni kama hayo na sio kwamba ni kosa lakini wanaandamwa na kutweza itakuaje kwa mwananchi wa kawaida maoni yake yataheshimika kweli?
Bado Tanzania ina mfumo wa kidikteta, na demokrasia inaimbwa ili kuvutia wafadhili na wakopeshaji watoe pesa lakini hakuna kitu cha maana.
Mkumbuke hakuna demokrasia ndio maana hakuna hata maendeleo pamoja na rasilimali.
Nchi imebeba idadi kubwa ya wajinga wasioweza kufikiri isipokua wanawaza matumbo yao tu.
 
Hawa ndio waasisi wa huu upumbavu, wanavuna walicho panda wao
safi kabisa naungana na wewe katika hili,,,bashiru ndo muasisi wa haya mambo ya kutukuzana na kusifiana pasipo sababu sasa hivi njaa inamnyemelea anaanza kulalama,,,avune alichopanda
 
Ukweli mchungu,

Tanzania hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni haupo huu ndio ukweli.

Ndugai na Bashiru uwe mfano hai na mjiulize kama viongozi wanatoa maoni kama hayo na sio kwamba ni kosa lakini wanaandamwa na kutweza itakuaje kwa mwananchi wa kawaida maoni yake yataheshimika kweli?

Bado Tanzania ina mfumo wa kidikteta, na demokrasia inaimbwa ili kuvutia wafadhili na wakopeshaji watoe pesa lakini hakuna kitu cha maana.

Mkumbuke hakuna demokrasia ndio maana hakuna hata maendeleo pamoja na rasilimali.

Nchi imebeba idadi kubwa ya wajinga wasioweza kufikiri isipokua wanawaza matumbo yao tu.
Wakati walipokuwa wakimuimbia hiyena hiyena mungu wao hukutamka wala hukuliona hili Isipokuwa wakati wa awamu ya sita ndio unaliona, Acha unafiki.
Unamaanisha wakati ule kulikuwa na Uhuru mkubwa kweli, ajabu ya mnafiki hii.
 
safi kabisa naungana na wewe katika hili,,,bashiru ndo muasisi wa haya mambo ya kutukuzana na kusifiana pasipo sababu sasa hivi njaa inamnyemelea anaanza kulalama,,,avune alichopanda
Njaa ipi sasa mkuu na wakati yupo bungeni na ingekuwa njaa basi angesifia na yeye kama wafanyavyo wengine.
 
Ukweli mchungu,

Tanzania hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni haupo huu ndio ukweli.

Ndugai na Bashiru uwe mfano hai na mjiulize kama viongozi wanatoa maoni kama hayo na sio kwamba ni kosa lakini wanaandamwa na kutweza itakuaje kwa mwananchi wa kawaida maoni yake yataheshimika kweli?

Bado Tanzania ina mfumo wa kidikteta, na demokrasia inaimbwa ili kuvutia wafadhili na wakopeshaji watoe pesa lakini hakuna kitu cha maana.

Mkumbuke hakuna demokrasia ndio maana hakuna hata maendeleo pamoja na rasilimali.

Nchi imebeba idadi kubwa ya wajinga wasioweza kufikiri isipokua wanawaza matumbo yao tu.
Hiyo demokrasia waliipa kipaumbele enzi zao? Acha wapigwe tu wanafiki hao
 
Ukweli mchungu,

Tanzania hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni haupo huu ndio ukweli.

Ndugai na Bashiru uwe mfano hai na mjiulize kama viongozi wanatoa maoni kama hayo na sio kwamba ni kosa lakini wanaandamwa na kutweza itakuaje kwa mwananchi wa kawaida maoni yake yataheshimika kweli?

Bado Tanzania ina mfumo wa kidikteta, na demokrasia inaimbwa ili kuvutia wafadhili na wakopeshaji watoe pesa lakini hakuna kitu cha maana.

Mkumbuke hakuna demokrasia ndio maana hakuna hata maendeleo pamoja na rasilimali.

Nchi imebeba idadi kubwa ya wajinga wasioweza kufikiri isipokua wanawaza matumbo yao tu.
Wenyewe wavunja Katiba na Sheria wakuu!
 
Ukweli mchungu,

Tanzania hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni haupo huu ndio ukweli.

Ndugai na Bashiru uwe mfano hai na mjiulize kama viongozi wanatoa maoni kama hayo na sio kwamba ni kosa lakini wanaandamwa na kutweza itakuaje kwa mwananchi wa kawaida maoni yake yataheshimika kweli?

Bado Tanzania ina mfumo wa kidikteta, na demokrasia inaimbwa ili kuvutia wafadhili na wakopeshaji watoe pesa lakini hakuna kitu cha maana.

Mkumbuke hakuna demokrasia ndio maana hakuna hata maendeleo pamoja na rasilimali.

Nchi imebeba idadi kubwa ya wajinga wasioweza kufikiri isipokua wanawaza matumbo yao tu.
Kwa hiyo Ndugai na Bashiru ndiyo watanzania wote? Mbona wewe mtoa mada unatoa maoni yako humu kwa uhuru?
 
Back
Top Bottom