UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Hata Ndugai na Bashiru wangetoa maoni yao humu bila kujulikana kama ndio wao basi isingekuwa shida.Kwa hiyo Ndugai na Bashiru ndiyo watanzania wote? Mbona wewe mtoa mada unatoa maoni yako humu kwa uhuru?