Ndugai na Musukuma: Mungu yupo popote mlipo; hata mkiwa Mbinguni; hamtatumikiwa, mtalazimika kutumikia wala hamtakuwa na Jeuri ya miongozo ya kanuni

Ndugai na Musukuma: Mungu yupo popote mlipo; hata mkiwa Mbinguni; hamtatumikiwa, mtalazimika kutumikia wala hamtakuwa na Jeuri ya miongozo ya kanuni

Nani amempa USA haki ya kuamua nani awe Raisi wa nchi xyz na nani asiwe wakati ni kinyume cha UN international law?

Kwa hiyo,kwa USA kufanya hivyo ndio inatoa haki ninyi kuiga? USA wanahimiza Uhuru Wa watu Wa jinsia moja kupumuliana kisogoni na mdomoni. Na wewe utaanza hiyo "biashara" kwa sababu USA wameshaonyesha njia?
 
Kwa hiyo,kwa USA kufanya hivyo ndio inatoa haki ninyi kuiga? USA wanahimiza Uhuru Wa watu Wa jinsia moja kupumuliana kisogoni na mdomoni. Na wewe utaanza hiyo "biashara" kwa sababu USA wameshaonyesha njia?


Nimetumia huo mfano wa USA kwamba mwenye nguvu ndiyo anaishi na kuendeleza kizazi, hiyo ni Evolution, hata Sokwe huishi hivyo, ndo maana kuna msemo Dume la mbegu/Nyani unafikiri umetokea wapi?
Ni hivyo Nyani Dume lenye nguvu ndo huchukuwa mazuri ya Dunia kwa nguvu, huwapiga wale wasio au aliowazidi nguvu na kufaidi matunda ya nguvu zake.
 
Back
Top Bottom