Ndugai nyoosha maelezo, mikopo haikupata idhini ya Bunge!!

Ndugai nyoosha maelezo, mikopo haikupata idhini ya Bunge!!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Naomba kumnukuu Mh.Tundu Lissu katika hotuba yake kwa wananchi. Tundu Lissu anasema
.......Kwa hiyo jumla ya madeni ya mwaka huu peke yake ni takriban dola
bilioni 2.5, sawa na takriban shilingi trilioni 6.245. Zaidi ya watu
wachache tu serikalini, sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu
tunaojua masharti ya miikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu
tutake tusitake! Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku
nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi
ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!......

Tundu Lissu ameueleza umma kwamba haya mamikopo Bunge halijapitisha. Mimi nilikuwa najiuliza Ndugai analalamikaje kuhusu mikopo wakati yeye na bunge lake ndo wamepitisha?
Wote Ndugai na Rais Samia watueleze iweje fedha zichukuliwe kienyeji bila wananchi kujua?
 
Kwa mawazo yako ni kama vile Ndugai hawezi kufanya jambo lolote right, au hata akifanya right basi ligeuzwe wrong kwasababu ya alichowahi kufanya kabla.

Haya mawazo yako pekee ni sababu yetu kuwa hapa tulipo, tuna siasa za kukariri, tunapiga kelele kubadilisha hali ya mambo lakini ikitokea yule anayepigiwa kelele akabadilika afanye tutakavyo, bado tunamsimanga, what exactly do you want?

Lissu himself unaemsemea hapo kamuunga mkono Ndugai, wewe bado unauliza ya past wakati now tuko present, wenzako wanataka hoja ya Ndugai ipigwe teke simply because aliomba msamaha hata kama ina maslahi kwa taifa, huu upinzani wenu usio na vision kwangu ni tatizo tu kama walivyo CCM wenyewe.
 
Nafikiri kuchukua mikopo bila kushirikisha bunge ndo umekuwa sasa utaratibu wa kawaida, ndo maana unaweza kukuta hata ndugai alisoma kwenye magazeti kuhusu mkopo wa trilioni 1.3 na ile mikopo mingine yote ya kuanzia enzi za jiwe..............hapa ndo utaona umuhimu wa katiba mpya.
 
Nafikiri kuchukua mikopo bila kushirikisha bunge ndo umekuwa sasa utaratibu wa kawaida, ndo maana unaweza kukuta hata ndugai alisoma kwenye magazeti kuhusu mkopo wa trilioni 1.3 na ile mikopo mingine yote ya kuanzia enzi za jiwe..............hapa ndo utaona umuhimu wa katiba mpya.
 
Naomba kumnukuu Mh.Tundu Lissu katika hotuba yake kwa wananchi. Tundu Lissu anasema
.......Kwa hiyo jumla ya madeni ya mwaka huu peke yake ni takriban dola
bilioni 2.5, sawa na takriban shilingi trilioni 6.245. Zaidi ya watu
wachache tu serikalini, sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu
tunaojua masharti ya miikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu
tutake tusitake! Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku
nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi
ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!......

Tundu Lissu ameueleza umma kwamba haya mamikopo Bunge halijapitisha. Mimi nilikuwa najiuliza Ndugai analalamikaje kuhusu mikopo wakati yeye na bunge lake ndo wamepitisha?
Wote Ndugai na Rais Samia watueleze iweje fedha zichukuliwe kienyeji bila wananchi kujua?
 
Naomba kumnukuu Mh.Tundu Lissu katika hotuba yake kwa wananchi. Tundu Lissu anasema
.......Kwa hiyo jumla ya madeni ya mwaka huu peke yake ni takriban dola
bilioni 2.5, sawa na takriban shilingi trilioni 6.245. Zaidi ya watu
wachache tu serikalini, sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu
tunaojua masharti ya miikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu
tutake tusitake! Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku
nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi
ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!......

Tundu Lissu ameueleza umma kwamba haya mamikopo Bunge halijapitisha. Mimi nilikuwa najiuliza Ndugai analalamikaje kuhusu mikopo wakati yeye na bunge lake ndo wamepitisha?
Wote Ndugai na Rais Samia watueleze iweje fedha zichukuliwe kienyeji bila wananchi kujua?
Tangu lini huwa mnatangaziwa masharti ya mikopo?

Haikupata idhini ya Bunge na hiki hapa ni nini? 👇

Screenshot_20220102-082208.png
 
Mtaanzisha nyuzi nying sana na mtaongea maneno mengi sana ila haitasaidia kitu na wala haitapunguza nguvu ya mama 2025 lazma atachukua Nchi tena kwa kishindo

Nakwa CCm hakuna mtu wenye nguvu ya kumyumbisha Samia ktk suala lolote atakalo lifanya sababu nyuma ya samia kuna watu wakubwa sana ndan ya CCm

Sukuma gang na wengne mtaongea sana na mtaanda nyuzi nying sana humu JF ila haitowasaidia
Msukule mkuu ulishagaoza ni funza tu ndo zimebaki na mama ndo Incharge kwa sasa ad 2030
 
Kwa mawazo yako ni kama vile Ndugai hawezi kufanya jambo lolote right, au hata akifanya right basi ligeuzwe wrong kwasababu ya alichowahi kufanya kabla.

Haya mawazo yako pekee ni sababu yetu kuwa hapa tulipo, tuna siasa za kukariri, tunapiga kelele kubadilisha hali ya mambo lakini ikitokea yule anayepigiwa kelele akabadilika afanye tutakavyo, bado tunamsimanga, what exactly do you want?

Lissu himself unaemsemea hapo kamuunga mkono Ndugai, wewe bado unauliza ya past wakati now tuko present, wenzako wanataka hoja ya Ndugai ipigwe teke simply because aliomba msamaha hata kama ina maslahi kwa taifa, huu upinzani wenu usio na vision kwangu ni tatizo tu kama walivyo CCM wenyewe.
mkuu unachangia uzi upi?naona kama hujaelewa,ni kipi hujaelewa?! hoja yangu ni kwamba ni kweli bunge halijatoa idhini ya kukopa? kwa mazingira hayo kumbe Ndugai alikuwa na hoja zaidi ya wingi wa mikopo,bali ni pamoja na kuhoji bunge kutopitisha.
 
Naomba kumnukuu Mh.Tundu Lissu katika hotuba yake kwa wananchi. Tundu Lissu anasema
.......Kwa hiyo jumla ya madeni ya mwaka huu peke yake ni takriban dola
bilioni 2.5, sawa na takriban shilingi trilioni 6.245. Zaidi ya watu
wachache tu serikalini, sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu
tunaojua masharti ya miikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu
tutake tusitake! Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku
nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi
ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!......

Tundu Lissu ameueleza umma kwamba haya mamikopo Bunge halijapitisha. Mimi nilikuwa najiuliza Ndugai analalamikaje kuhusu mikopo wakati yeye na bunge lake ndo wamepitisha?
Wote Ndugai na Rais Samia watueleze iweje fedha zichukuliwe kienyeji bila wananchi kujua?
Pesa zinapigwa vibaya sn
 
Kwa mawazo yako ni kama vile Ndugai hawezi kufanya jambo lolote right, au hata akifanya right basi ligeuzwe wrong kwasababu ya alichowahi kufanya kabla.

Haya mawazo yako pekee ni sababu yetu kuwa hapa tulipo, tuna siasa za kukariri, tunapiga kelele kubadilisha hali ya mambo lakini ikitokea yule anayepigiwa kelele akabadilika afanye tutakavyo, bado tunamsimanga, what exactly do you want?

Lissu himself unaemsemea hapo kamuunga mkono Ndugai, wewe bado unauliza ya past wakati now tuko present, wenzako wanataka hoja ya Ndugai ipigwe teke simply because aliomba msamaha hata kama ina maslahi kwa taifa, huu upinzani wenu usio na vision kwangu ni tatizo tu kama walivyo CCM wenyewe.
Kuna wakati mashabiki wa chadema huwa wanatoa nawazo kama wamekatwa vichwa!

Waliungana na Lowasa, Nyarandu na Sumaye watu ambao tuliambiwa hawafai hata kuwa wenyeviti wa nyumba 10.
Sasa inakuwaje ngumu kwa Ndugai ambae ametoa hoja yenye uzito namna hii?

Lisu juzi kawashangaa vijana waliokuwa wamejazana club house kurusha mawe kwa Ndugai huku wakiacha hoja yake ambayo mpaka sasa haijapata majibu yeyote.

Vyovyote iwavyo, pamoja na kwamba machawa wa mama wamejipanga kumpopoa mawe Ndugai, lakini majadala wake aliouibua utawatesa hadi 2025.
 
Mtaanzisha nyuzi nying sana na mtaongea maneno mengi sana ila haitasaidia kitu na wala haitapunguza nguvu ya mama 2025 lazma atachukua Nchi tena kwa kishindo

Nakwa CCm hakuna mtu wenye nguvu ya kumyumbisha Samia ktk suala lolote atakalo lifanya sababu nyuma ya samia kuna watu wakubwa sana ndan ya CCm

Sukuma gang na wengne mtaongea sana na mtaanda nyuzi nying sana humu JF ila haitowasaidia
Msukule mkuu ulishagaoza ni funza tu ndo zimebaki na mama ndo Incharge kwa sasa ad 2030
Wapumabvu kama nyie ndio masababisha ccm na viongozi kujifanyia wanavyotaka
 
Kwa mawazo yako ni kama vile Ndugai hawezi kufanya jambo lolote right, au hata akifanya right basi ligeuzwe wrong kwasababu ya alichowahi kufanya kabla.

Haya mawazo yako pekee ni sababu yetu kuwa hapa tulipo, tuna siasa za kukariri, tunapiga kelele kubadilisha hali ya mambo lakini ikitokea yule anayepigiwa kelele akabadilika afanye tutakavyo, bado tunamsimanga, what exactly do you want?

Lissu himself unaemsemea hapo kamuunga mkono Ndugai, wewe bado unauliza ya past wakati now tuko present, wenzako wanataka hoja ya Ndugai ipigwe teke simply because aliomba msamaha hata kama ina maslahi kwa taifa, huu upinzani wenu usio na vision kwangu ni tatizo tu kama walivyo CCM wenyewe.

Hujamwelewa kabisa mleta hoja...

Una - argue kitu tofauti na mantiki iliyo ktk hoja ya mwenzako...

Rudia tena kumsoma, labda utamwelewa kisha urekebishe argument yako..

CC: OKW BOBAN SUNZU
 
Naomba kumnukuu Mh.Tundu Lissu katika hotuba yake kwa wananchi. Tundu Lissu anasema
.......Kwa hiyo jumla ya madeni ya mwaka huu peke yake ni takriban dola
bilioni 2.5, sawa na takriban shilingi trilioni 6.245. Zaidi ya watu
wachache tu serikalini, sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu
tunaojua masharti ya miikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu
tutake tusitake! Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku
nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi
ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!......

Tundu Lissu ameueleza umma kwamba haya mamikopo Bunge halijapitisha. Mimi nilikuwa najiuliza Ndugai analalamikaje kuhusu mikopo wakati yeye na bunge lake ndo wamepitisha?
Wote Ndugai na Rais Samia watueleze iweje fedha zichukuliwe kienyeji bila wananchi kujua?
Lissu yaonekana aidha hajafahamu kilichotokea au anafahamu vibaya., icho anachosema yeye kwamba madeni yapo kitambo ata rais samia amesema juzi mikopo inachukuliwa tangia uhuru

Swali ni kwanini ndugai mshika muhimili ameenda kuongelea masuala yale gereji, ndugai anauwezo mkubwa huko kwenye kamati ambapo yeye ni mjumbe lakini anaweza kupiga gari lake moto akatinga Ikulu kwa mama na kuzungumza wao 2 hilo jambo kama kweli kulikuwa na madhara kwa nchi pasina mtu yoyote kujua zaid ya wao., Lakini Nape Nauye aliliibua jambo hili bungeni hivi karibuni kwanini ndugai hakuanzia hapo? lilipita kama upepo pale bungeni?

Lakini ndugai kwanini kwenye yale maneno alitaja uchaguzi 2025? kulikuwa na uhusiano gani mikopo na uchaguzi wa 2025 tafsiri yake ni kwamba ndugai alikuwa na ajenda nyengine mbali dhidi ya mama hili halitaki tochi lipo wazi sana tena sana.

Ukimsikiliza mchungaji Peter Msigwa maoni yake utagundua amelifahamu vyema hili sakata na ametoa ushauri mzuri sana kwa Job kabla icho kiheshima chake kiduchu kilichobaki hakijamaliza kabisa kabisa
 
Ile 1.5 trillion ambayo ilipotea tuu haaikujulikana ilipo na CAG Assad alipohoji aakafukuzwa na marehemu magufuli iliishia waapi? Watanzania ni wasahaulifu sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Inatakiwa ipate idhini ya bunge? Kwa kifungu gani cha katiba?
 
Back
Top Bottom