Haa aliyeelewa hoja ya mleta mada atufafanulie jamani
π³π³π³π³Haa aliyeelewa hoja ya mleta mada atufafanulie jamani
Mchawi mwenye kengele shingoni hana madhara usukani πππ³π³π³π³
Hata mimi simwelewi, sikui ni haraka zake au ni mahaba yake na anachotaka kuwakilisha.
Weledi wa kitanzania kazini.Haa aliyeelewa hoja ya mleta mada atufafanulie jamani
Yote hii nikuwa covid zimetuvisha barakoa π·π€Έ.Safari bado ni ndefu Sana kupata Uhuru wa kuwakilisha mawazo na kutoa maoni...
Weledi wa kitanzania kazini.
Yule ni kimada tu aliyemgeuza kuwa wifeNdugai naibu spika na Ndugai spika ni viongozi tofauti. Hivi sasa anafaidi keki ya taifa kisawa sawa. Wife wake nae ni RAS Dodoma. Utamwambia nini!
Tuivike kengele kila inapozurura ijitambuliashe.
Mh zuzuπππ