Ndugai: Uhuru wa kukusanyika ni upi?

Ndugai: Uhuru wa kukusanyika ni upi?

Maoni yao tu ni kengele tosha.

Habari mbaya kwao ni kuwa kwenye reli hatutoki 😁😁.
Hadi kieleweke, katiba mpya, time huru ya uchaguzi na uhuru kamili Kwa watu katika nyanja mbalimbali, Yani kukoma Kwa ukaburu wa mtu mweusi. 😂.
 
Wale viongozi wa AZAKI waliomwalika huyu wakapimwe ubongo haraka sana!!
 
Bunge kibogoyo wewe uliona wapi sheria ya tozo watunge wao halafu waje kulia wao kua hawakujua kama ni tozo, watu wa namna ile kamwe hawawezi kua na msaada kwa Taifa...
Kumbuka kuwa wengi wao hawakuchaguliwa na wananchi kwanzia kwenye mchakato wa kura za maoni hadi uchaguzi mkuu.

Aliyewachagua ni Kiongozi Mkuu wa ule Mihimili uliojichimbia chini kuliko Mihimili mingine. Hivyo lazima wamtumikie/wamfurahishe yeye.

Wananchi tuamkeni tudai Katiba Mpya.
 
Hadi kieleweke, katiba mpya, time huru ya uchaguzi na uhuru kamili Kwa watu katika nyanja mbalimbali, Yani kukoma Kwa ukaburu wa mtu mweusi. 😂.

Wanakereka sana kuwa tumewatambua:

Kwa majina yao wengine wako humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Watuswamehe tuliowashuku wasiokuwemo. Mwenyekiti wa Shina CCM Kilimatinde ananini cha kufanya na kesi au hukumu za kubumbwa kwa Mbowe?

Kiongozi huyo wa Shina ana nini cha kufanya na Lijenje, Ben, Azory au kushambuliwa Lissu?

Tuko chobingo kukusanya orodha yao zaidi kwa ajili ya "new release."
 
japo sijaelewa hoja, ila Ndugai ajitafakari.

Mkuu nilikuwa sijakuelewa 😁😁

IMG_20211025_153153_089.jpg
 
Wanakereka sana kuwa tumewatambua:

Kwa majina yao wako humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Watuswamehe tuliowashuku wasiokuwemo. Mwenyekiti wa Shina CCM Kilimatinde ananini cha kufanya na kesi au hukumu za kubumbwa kwa Mbowe?

Kiongozi huyo wa Shina ana nini cha kufanya na Lijenje, Ben, Azory au kushambuliwa Lissu?

Tuko chobingo kukusanya orodha yao kwa ajili ya "new release."
Wachimbuliwe wote , hata mawe yageuzwe.
 
Huyo ni ZUZU kama alivyo fafanua CAG aliyeondolewa kazini kinyume na katiba Profesa makini Assad.
Hizi kauli zake za sasa ni katika kutuzibitishia kuwa yeye ni ZUZU kweli mkuu wa MAZUZU wa mjengoni
 
Hawana lolote hao. Uzuri ni kuwa mchawi tunamjua vyema mno kuliko wakati mwingine wowote.

Tuutambue mzizi wa machungu yetu nchini

Wapo mahakamani, polisi hadi JF.

Kuujua mzizi ulipo na kuwatia kengele paka hawa ni hatua muhimu sana.

Mwenye lake jambo hapa si CCM, Samia au JK ni hii mijitu isiyojulikana.
Mkuu, brazaj

SERIKALI wao wanasemaje juu ya MIJITU ISIYOJULIKANA?
 
Huyo ni ZUZU kama alivyo fafanua CAG aliyeondolewa kazini kinyume na katiba Profesa makini Assad.
Hizi kauli zake za sasa ni katika kutuzibitishia kuwa yeye ni ZUZU kweli mkuu wa MAZUZU wa mjengoni
Amejaa uzuzu tupu
 
Kumbuka kuwa wengi wao hawakuchaguliwa na wananchi kwanzia kwenye mchakato wa kura za maoni hadi uchaguzi mkuu. Aliyewachagua ni Kiongozi Mkuu wa ule Mihimili uliojichimbia chini kuliko Mihimili mingine. Hivyo lazima wamtumikie/wamfurahishe yeye.

Wananchi tuamkeni tudai Katiba Mpya.

Madai ya katiba mpya bila kukabiliana vilivyo na wasiojulikana hayaepukiki.

Kuwajua kwa kuzijua tabia zao ni muhimu sana.

Kuwajua na kupambana nao bila kushangazwa nao katika hatua yoyote ni muhimu pia:

IMG_20211021_190628_385.jpg
 
Back
Top Bottom