Ndugai: Uhuru wa kukusanyika ni upi?

CCM kama watu tulionao ndiyo hawa na uwezo wao wa kujenga hoja ndiyo huu, kweli taifa lina dalili ya kusonga mbele kweli?
 
99% wameelewa hiyo mada,ni wewe tuu na manazi wenzako wa CCM mnajifanya hamjaelewa, ujinga wa CCM umewaingia mpaka mmepoteza akili kabisa

Hao ni jukumu takatifu kukabiliana nao tena - head on.

Hao ni wale wachawi wetu pendwa kwa majina yao halisi - sentry mitandaoni 😁😁.
 
Nilid
 
Hivi huu ukali wa kufokea fokea Ndugai kutoa wapi? Au ndiyo kiburi cha madaraka. Naona kama vile mambo mengi anatoka ana nayo huyu bwana hayahusiani na kazi yake. Kazi yake ni kuisimamia serikali.... Lakini yeye kageuka kuwa mpambe wao. Magufuli aliwaharibu sana watu.
 
Mimi naamini maneno aliyosema mwalimu wangu Prof. Asad kuhusu uzuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…