Ndugu 3 washiriki kumpiga mdogo wao hadi kumuua

Ndugu 3 washiriki kumpiga mdogo wao hadi kumuua

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Katika hali ya kuumiza na kushangaza bwana Braison Mongi na Benson Mongi akiwa na ndugu yoa mwingine (jina la mwisho Mongi, walimpiga mdogo wao wa mwisho anaeitwa Dany hadi kumpelekea umati.

Tukio liko hivi...

Huyu marehemu enzi za uhai wake aliafunzwa kazi ya kutengeneza magari hadi akaju,alipojua akaacha ile kazi. Hawa kaka zake wate ni mafunzi seremala, mmoja anachonga vitanda pale kimara suka kituo cha daladala (mkono wa kulia kama unaenda mbezi)na huyu Beny nae Kibamba CCM (mkono wa kulia )hiyo mwingine nae yuko Mwenge.

Marehemu inasemekana mwezi wa 12 aliuza vitanda 3 ya huyu kaka yake (Braison)akakimbilia kijijini kwao huko Moshi. Huko kijijini marehemu akaanza tabia ya wizi na udokozi na kumsumbua sana mama yake mzazi, Ilipofika mwezi wa 2 mwaka huu hawa ndugu(Braison na Beny walimwita mdago wao mjini (Dar es Saalam) na kuanza kumfundisha kazi.

Tarehe 20 mwezi wa 2 walimpeleka Kibamba kwa kaka yao mdogo. (Beny)wakamnunulia supu na nyama akala akashiba (kumbe washapanga wanampa adhabu kali sana), basi marehemu alikula akashiba na akanywa baada ya hapo walimkamata wakaingiza ndani wakafunga mlango ndipo walipoanza kumshushia kichapo, majirani waliokuwa pale lile tukio waliliona.

Kichapo kilizidi hadi Dany akafariki, hawa wapigaji walipoona mtu katulia walimfunika chini na kanga hadi giza likaingia ingia wakaenda chukua bajaji ile bajaji ilipofika dereva alipoona mwili alikataa kubeba, wakaenda chukua kirikuu wakabeba mwili wakaenda tupa pori la hospitali ya Mloganzila ndipo mwili ulipookotwa ukapelekwa mochwari Mloganzira.

Baada ya kufanya hivyo, hawa wapigaji/wauaji waliendelea na shughuli zao za uzalishaji mpaka juzi Jumamosi raia wema(majirani walipoenda polisi kutoa taarifa.

Na baada ya taarifa polisi walifuatilia na kukuta ni kweli mpaka hapo walipopata data kamili za wauaji na ndipo huyu Braison akakamatwa ila Beny na huyu mwingine wako mafichoni bado wanatafutwa.

Mpaka sasa mwili bado uko Mloganzila, huku Braison akiwa mahabusu, Beny na mwezake wanatafutwa.
 
Inasikitisha kwa kweli.

"Damu nzito kuliko Maji" ila kwa hawa ndugu hali haikuwa hivyo, Upendo ni muhimu sana kwenye familia.
 
Mtibeli alishaa fafanuaa hapaaa

 
Katika hali ya kuumiza na kushangaza bwana braison mongi na benison mongi akiwa na ndugu yoa mwingine (jina la mwisho mongi,walimpiga mdogo wao wa mwisho anaeitwa dany hadi kumpelekea umati.

Tukio liko hivi ...
Kiini hasa cha mauaji haya ni nini?? Lazima tu kuna vitu vya ziada vilivyojificha nyuma ya pazia jeusi kwenye mkasa huu, si bure hata kidogo.
 
Ukitaka kumuadhibu mtu kama huyo unamfunga kwenye mti anakua kama ameukumbatia alafu unamcharaza fimbo za mgongo ukipiga kichwa tu umeua.

Sahivi kumuua binadam ni rahisi sana kuliko hata kuvunja biskuti watu wanatembea na maradhi ukimgusa tu umepata kesi ya mauaji.
 
Cursed family.

Inasikitisha, familia ikiwa masikini ni shida, ikiwa tajiri ni shida pia. Ikiwa na mdokozi ni tqtizo zaidi.
 
Thanks for the news

Nilikuwa naitafuta sana hii habari kwa urefu huu, angalau nimepata mwanga

Umeieleza kwa uzuri na inaeleweka

Asante
 
Hawa watu wa Moshi wanamatatizo gani? Yaani kuuana wanaona jambo la kawaida
Acha ujinga wewe. Hao lengo lao halikuwa kumuua ndugu yao. Walitaka kumfunza kitu. Hivyo wameua bila kukusudia.

Ingekuwa vyema kama wasingeutupa mwili wa ndugu yao wakajisalimisha mapema labda adhabu ingekuwa sio kubwa.
 
Hao majirani Hadi bajaji wanakataa mwili nao walikuwepo pale Hadi kirikui inakuja nao walikuwepo eneo la tukio kwanin wasinge wasuiakuchukuwa mwli
 
Ndugu wezi mizinguo sana. Anajua huwezi kumpiga wala kumpeleka polisi.
 
Katika hali ya kuumiza na kushangaza bwana Braison Mongi na Benson Mongi akiwa na ndugu yoa mwingine (jina la mwisho Mongi, walimpiga mdogo wao wa mwisho anaeitwa Dany hadi kumpelekea umati.

Tukio liko hivi...

Huyu marehemu enzi za uhai wake aliafunzwa kazi ya kutengeneza magari hadi akaju,alipojua akaacha ile kazi. Hawa kaka zake wate ni mafunzi seremala, mmoja anachonga vitanda pale kimara suka kituo cha daladala (mkono wa kulia kama unaenda mbezi)na huyu Beny nae Kibamba CCM (mkono wa kulia )hiyo mwingine nae yuko Mwenge.

Marehemu inasemekana mwezi wa 12 aliuza vitanda 3 ya huyu kaka yake (Braison)akakimbilia kijijini kwao huko Moshi. Huko kijijini marehemu akaanza tabia ya wizi na udokozi na kumsumbua sana mama yake mzazi, Ilipofika mwezi wa 2 mwaka huu hawa ndugu(Braison na Beny walimwita mdago wao mjini (Dar es Saalam) na kuanza kumfundisha kazi.

Tarehe 20 mwezi wa 2 walimpeleka Kibamba kwa kaka yao mdogo. (Beny)wakamnunulia supu na nyama akala akashiba (kumbe washapanga wanampa adhabu kali sana), basi marehemu alikula akashiba na akanywa baada ya hapo walimkamata wakaingiza ndani wakafunga mlango ndipo walipoanza kumshushia kichapo, majirani waliokuwa pale lile tukio waliliona.

Kichapo kilizidi hadi Dany akafariki, hawa wapigaji walipoona mtu katulia walimfunika chini na kanga hadi giza likaingia ingia wakaenda chukua bajaji ile bajaji ilipofika dereva alipoona mwili alikataa kubeba, wakaenda chukua kirikuu wakabeba mwili wakaenda tupa pori la hospitali ya Mloganzila ndipo mwili ulipookotwa ukapelekwa mochwari Mloganzira.

Baada ya kufanya hivyo, hawa wapigaji/wauaji waliendelea na shughuli zao za uzalishaji mpaka juzi Jumamosi raia wema(majirani walipoenda polisi kutoa taarifa.

Na baada ya taarifa polisi walifuatilia na kukuta ni kweli mpaka hapo walipopata data kamili za wauaji na ndipo huyu Braison akakamatwa ila Beny na huyu mwingine wako mafichoni bado wanatafutwa.

Mpaka sasa mwili bado uko Mloganzila, huku Braison akiwa mahabusu, Beny na mwezake wanatafutwa.
Hawa Wana laana
 
Back
Top Bottom