Uchaguzi 2020 Ndugu Balile na wenzako, Vyombo vyenu havipigi kura msiwachagulie wagombea na wachaguaji nini cha kuambiwa, hatutaki

Bora watuambie tuendelee kusifia
 
Huyu Balile alikula nkanja na kunywa rubisi ndio anatupumulia korona! Yaani katk kutafuta wadhamini kote alikopota Tundu Lisu kote Ni matusi tu ndio maana TV, Radio na magazeti hawajafanya coverage yeyote? Tena Balile kaongezee na karandarugo utuomdolee kiwingu hapa!
 
Balile abong'oe tu,atiliwe urojo wa beberu
 

Aliwaambia pia yule DC na DAS waende kugombea wanaume.

Akamwambia rais Kenyatta yule mama waziri wa Kenya abakie tu huku ati kwa kuwa ni mrembo.

Mifano ni mingi, mingi mno.

Maneno yasiyosikilizika mbele za watu wanao heshimiana.
 
Sasa unachogomba ni nini? si utakuwa umeshasikiliza hayo matusi moja kwa moja.
Unachotakiwa kufanya ni kila mtoa matusi wako akienda sehemu basi wewe usikose kuwapo,
kwa hiyo pia wewe usiwapangie watu kazi zao kwa sababu hujawaajili.
Vinginevyo sajiki chombo chako uwe unajitangazia
 
Mbona mna mashaka kama mnajua hamtatoa matusi, wasiwasi wa nini?
 
Sasa mbona Lisu anabweka kulalamika kuwa magazeti hayamwandiki kulikoni Kama hamsomi si angenyamaza
Wewe unasema matusi hayaruhusiwi lakini hapohapo unasema Lisu "anabweka" je hilo sio tusi? Maana wote tunajua anayebweka ni mbwa sio binadamu.
 
Hawa wote ni CCM
 
Wewe unasema matusi hayaruhusiwi lakini hapohapo unasema Lisu "anabweka" je hilo sio tusi? Maana wote tunajua anayebweka ni mbwa sio binadamu.
Kubweka Ni kupiga miyowe isiyo na point
 
Taja kwa mifano hayo yaitwayo matusi, manake iseje kuwa ukweli mchungu ukauita matusi.
 
Kwanza magazeti yenyewe unakuta yamehaririwa hadi yamepoteza ile taarifa halisi. Yaani unahabarishwa kile ambacho Balile anapenda ukipate siyo kile kinachotokea au kilichotokea.
 
Hivi hata hayo magazeti nani anasoma siku hizi?
 
Matusi ni nini? Mtua aliambiwa ana Phd fake ni tusi au ni hoja inayotakiwa kujibiwa
Uweke na ushahidi Bila ushahidi wa kisheria ni tusi . Ukisema hivyo ambatanisha wewe mwenyewe ushahidi wa viambatanisho vya kisheria vya Hilo unalolisema Sio unaibuka tu unamwambia mtu una PhD fake Halafu unasema Kama unabisha lete ushahidi Kama Huna PhD fake!!! .Wewe uliyetoa hizo tuhuma ndio unatakiwa unapotamka kuwa mtu ana PhD fake uambatanishe na vielelezo vyako vya ushahidi wa kisheria. Vinginevyo unachukuliwa kuwa umemtukana mtu na vyombo vya habari haviwezi ripoti huo ujinga usiokuwa na ushahidi wa viambatanisho vya kisheria vya kuthibitisha Hilo ulilosema
 
Taja kwa mifano hayo yaitwayo matusi, manake iseje kuwa ukweli mchungu ukauita matusi.
Mfano unasema ofisi za Chadema zilichomwa na CCM bila ushahidi wa kisheria uliothibitishwa na mahakama Hilo linahesabika kuwa tusi kwa CCM

Au unasema Lisu alushambuliwa na serikali bila ushahidi uliothibitishwa na mahakama huko Ni kutukana serikali

Tuhuma zozote zisizo na ushahidi wa kisheria na kimahakama ni matusi
 
Basi kuna matusi mengi sana hapa nchini kwa hii definition uliyotowa! Na si rahisi kumaliza wiki bila kutoa tusi
 
Hiyo post yangu uliyokwote ina maneno "....bila kuwa na ushahidi." Ukiwa na ushahidi independent hayo siyo matusi, ushahidi wa kutengenezwa kwa makusudi bila kuwa wa kweli huwa haukubaliki.
Ukweli mwingine hauhitaji ushahidi, maana uko wazi.
Unataka ushahidi wa namna gani kuhusu ujenzi wa Reli mpya ya umeme, SGR?
Unataka ushahidi gani wa kujenga "interchange Ubungo"?
Unataka ushahidi gani wa kujenga " International Airport Chato"?
Unataka ushahidi gani wa kuanzisha National Park Rubondo?
Tanzania ni Nchi yetu sisi sote.
Hakuna mwenye Hakimiliki ya Nchi yetu zaidi ya mwingine.
Tudumishe na tuimarishe uzalendo.
Na msingi mkuu wa uzalendo ni kuelezana ukweli.
Ukweli mtamu na ukweli mchungu.
 
Huo ndio ushahidi wa matumizi ya lugha za matusi dhidi ya mgombea mwingine?
 
Acha kuleta ukabila.. huwa wepesi sana kujisahau chadomo.. wengine wakifanya ukabila mtaanza mdomo.
Itakuwa na wewe ndiyo wale wale mnaonufaika na ukabila na ukanda wa John. Nyambafufumanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…