Uchaguzi 2020 Ndugu Balile na wenzako, Vyombo vyenu havipigi kura msiwachagulie wagombea na wachaguaji nini cha kuambiwa, hatutaki

Uchaguzi 2020 Ndugu Balile na wenzako, Vyombo vyenu havipigi kura msiwachagulie wagombea na wachaguaji nini cha kuambiwa, hatutaki

NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Ameshalishwa mlungula sasa anaanza kujaribu kuwahadaa watu kisaikolojia! Nijuavyo mimi Vyombo vya habari mkishakuwa mmelipwa chenu kazi yenu ni kuripoti tukio au habari husika, lakini haya mengine wanayoanza kuteleza hapa ni mauzauza yasiyo na maana! Wanaotakiwa kujibu hoja na wajibu hoja sio kukimbilia kwenye vyombo vya habari kuminya sauti za hoja!
 
Chadema mpaka sasa akuna ambae hawajatoa lawama kwake.mpaka wanawalaumu wapinzani wenzao kama Act,Nccr n,k.
washashindwa mapema sana kablamtanange wenyewe haujaanza.
 
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Yani kwa kifupi habari ni habari tu, ukiona mhariri anaanza kupiga mikwara hivi ujue kuna jambo nyuma ya pazia, Na huyu Balile sijui amekuaje siku hizi.!! Na hayo matusi ni yapi sijui ..!? Usipohabarisha hayo matusi, na badae mgombea akachaguliwa kwenye nafasi anayogombea, nin itakuwa faida ya chombo cha habari..?! Na vip akiendelea kutukana huko atakapokuwa anawatumikia wananchi baada ya kuchaguliwa, utaripoti au bado utaacha ..?! Balile amekuwa wa hovyo siku hizi 🤔🤔🙉🙉
 
Naona kuna jitihada za kuleta maana mpya ya neno matusi.
Tangu Mgombea Urais Tundu Lissu arejee nchini na kuzunguka kutafuta wadhamini, sijamsikia akiongea maneno ambayo siwezi kuyasikiliza nikiwa pamoja na watoto wangu.
Maana, kamwe siwezi kuvumilia matusi.
Lakini nimewahi kumsikia Mgombea Urais John Magufuli, hadharani, akimwambia Mhandisi wa Maji Masasi kuwa, "wewe ni mpumbavu sana''!!!
Sikumsikia Balile akitoa tamko la kukemea matusi.
Kwa bahati nzuri, watu walio na uhuru kamili, wametumia Sayansi na Teknolijia kuhakisha kuwa taarifa na habari zote zinapatikana kiganjani.
Magazeti hayana wasomaji siku hizi.
Nina hakika Balile anajua kwamba "magazeti ni habari za mwaka 47"!!
Pole sana Balile.
Lakini mbona mnajihami sana, ni wapi balile amesema hawataripoti habari za lissu? yeye kasema hawataripoti matusi? sasa kwanni mnamhusisha Lissu na hayo matusi?
 
Nilikuwa namuona Balile kama mtu huru kumbe ni mtumwa kabisa.
Hajawahi kuwa huru , ni mamluki wa kitambo , namfahamu , aliwahi kutumika kusawazisha mambo kipindi ambacho Mwandishi Meena ilisemekana amelishwa sumu na kukimbizwa South Africa , nilimpa za uso bila aibu
 
Matusi hayakubaliki mkuu
Matusi, matusi, WAPINZANI NI MABWEGE NA MALOFA! MGOMBEA WENU ANAJINYEA! NIGONJWA, hsya yote yalisemwa na yakaonekana sawa tu, ila wapinzani wanaambiwa wanatukana hapo matusi hayo hatuyasikii wala aliyetukana hajulikani na hii imekuwa ni wimbo wa CCM wanaimbishwa viongozi wa dini. Jana nilimsikia Padri huko Dodoma akituchagulia mtu wa kumpigia kura, tume haikemei kampeni za ndani ya makanisa, akina Ponda nao wakianza Tume italalamika!
Balile alionekana dhahili akiisimamia CCM kwa kututaka tumchague mgombea wake! Nilitegemea atakemea vyombo vya habari kutoripoti habari za upinzani lakini wapi!
 
Uweke na ushahidi Bila ushahidi wa kisheria ni tusi . Ukisema hivyo ambatanisha wewe mwenyewe ushahidi wa viambatanisho vya kisheria vya Hilo unalolisema Sio unaibuka tu unamwambia mtu una PhD fake Halafu unasema Kama unabisha lete ushahidi Kama Huna PhD fake!!! .Wewe uliyetoa hizo tuhuma ndio unatakiwa unapotamka kuwa mtu ana PhD fake uambatanishe na vielelezo vyako vya ushahidi wa kisheria. Vinginevyo unachukuliwa kuwa umemtukana mtu na vyombo vya habari haviwezi ripoti huo ujinga usiokuwa na ushahidi wa viambatanisho vya kisheria vya kuthibitisha Hilo ulilosema
Aliyejaribu kuweka mambo hadharani aliuawa kikatili. Phd sio makaratasi si tu bali hata tabia na uongezaji lazima viendane nayo
 
Yani kwa kifupi habari ni habari tu, ukiona mhariri anaanza kupiga mikwara hivi ujue kuna jambo nyuma ya pazia, Na huyu Balile sijui amekuaje siku hizi.!! Na hayo matusi ni yapi sijui ..!? Usipohabarisha hayo matusi, na badae mgombea akachaguliwa kwenye nafasi anayogombea, nin itakuwa faida ya chombo cha habari..?! Na vip akiendelea kutukana huko atakapokuwa anawatumikia wananchi baada ya kuchaguliwa, utaripoti au bado utaacha ..?! Balile amekuwa wa hovyo siku hizi 🤔🤔🙉🙉
Kwani kuna mtu kamtaja? si amesema tu hawataripoti matusi? Sasa kwanini tunarusha lawama au mmeshajua kuna mgombea wenu, kazi yake ni matusi.
 
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Nani alishawahi kutukana adharani?
 
Katiba ya nchi inatamka wazi kuwa kila mtu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake.Kumtukana mtu Ni kuvunja katiba. Matusi hayaruhusiwi na katiba.Hayo hakuagiza Balile Ni katiba ya nchi imeagiza

Yuko sahihi Balile. Vyombo vya habari haviwezi kuvunja katiba kwa kuandika matusi watafungiwa na TCRA
Nani ulimsikia katukana na tusi lipi?
 
watu wanaonunua magazeti ni wale tu wanaotafuta tenda, magazeti kifo chao kilifika siku nyingi
 
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Kwanini unakasirika Mkuu mbona wameeleza vyema, matusi si mazuri
 
"hebu we mama nieleze unataka kupanuliwa nyumba/ mbele?" ~JPM
 
Jukwaa lenyewe limeshanunuliwa na jiwe, wapuuzi tu. Social media zipo na habari zitamfikia kila mtanzania.
Acha hao waandishi uchwara waendekeze matumbo yao
 
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
CCM wakitukana wanaripoti na kushangilia. Upinzani wakikosoa hawaripoti. Lakini TLP ikisema inamuunga mkono CCM vyombo vyote meno nje.
 
Back
Top Bottom