Uchaguzi 2020 Ndugu Balile na wenzako, Vyombo vyenu havipigi kura msiwachagulie wagombea na wachaguaji nini cha kuambiwa, hatutaki

Uchaguzi 2020 Ndugu Balile na wenzako, Vyombo vyenu havipigi kura msiwachagulie wagombea na wachaguaji nini cha kuambiwa, hatutaki

NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Huyu ni type ya wale kina mitungi
 
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Hao washenzi wanaojiita wana jukwaa la uarisho wakome kutupangia cha kusikiliza.

Wao kama wameamua ku ripoti habari za ccm tu , waendelee na moto huo huo.
 
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini cha kusikiliza na msiwachagulie wagombea nini cha kutueleza sisi.

Kama matusi ni sehemu ya sera basi acha sisi tuambiwe nyinyi kazi yenu ni kuripoti na si vinginevyo.

Mbona mnaripoti habari za mwanamke mmoja kubakwa na midume minne kwa kutumia kondom?

Sisi wananchi tunazo akili msituchagulie mtuache sisi tuchague mbichi na mbivu.

Mnapokimbilia tunapojua wagombea wakisema uongozi uliopita haukufaa nyie mtasema hayo ni matusi kisa utawala HUO ulilipa sanaa madeni ya jamhuri.
Huyu ndio "sifi leo". Kama una swali muulize, ila naomba atueleze kwake matusi ni kama hayo anayosema ya hiyo taarifa kwa umma? Hiyo ni news kwa jamii kuonyesha uozo wa jamii yetu na mmomonyoko wa maadili. Matusi ya wagombea wenu hamtayasoma wala kuyasikia kwenye vyombo vya habari; bali nendeni mkayasikilize huko majukwaani na myashangilie.
 
Back
Top Bottom