Ndugu Bashe, ulimaanisha nini uliposema Mashamba ya kulima miwa yabadilishwe yawe ya mpunga?

Ndugu Bashe, ulimaanisha nini uliposema Mashamba ya kulima miwa yabadilishwe yawe ya mpunga?

Ni kauli ya kifedhuri, kibri, jeuri, na dharau kubwa sana.
Sijui nini kimempata Bashe!!
RUSHWA ni cancer, Ina TABIA ya kushambulia ufahamu,

Ndugu Lipumba , Zittow,walikuwa fire enzi zile,

Saiz hata kupata watu 50 wa kuwasikiliza ni mtihani.
 
Sijui nini kimempata Bashe!!

Ni shinikizo, au ufahamu wake umetekwa!!

Na hatumii kilevi kusema kwamba labda alitamka hayo sababu ya ulevi wa pombe!!

Asingeweza kusema au kutenda kinyume na alivyotumwa, kumbuka maneno ya Balozi Ami kuwa ukiona vitoto vya Simba porini vinacheza usikurupuke kwanza angalia mama au baba yao yupo wapi
 
Salaam, Shalom!!

Ulipokuwa mbunge kabla ya kupewa Uwaziri ulionekana kama mzalendo wa Kweli Kwa HOJA ulizojenga!!

Ulimaanisha nini?

1. Kwamba, mpunga unaweza kuwa mbadala wa sukari?

2. Kwamba Ajira ambazo zinatolewa na viwanda vya sukari, zikipotea, Watanzania hao waende wapi?

3. Hiyo chain ya billion of shillings inayotengezwa na wakulima,vwasafirishaji, wafanyabiashara, ushuru na Kodi vikipotea, utafaidika na nini?

4. Kwamba kiafya sukari fake ya GMO ya Bei Chee Toka Thailand, Brazil na Dubai Ina ubora sawa na sukari yetu ya Kagera na Morogoro?

5. Kwamba tufunge viwanda vya sukari vinavyoexport sukari nje ya Nchi na kuleta dollar, Kisha Serikali ipate wapi pesa za kigeni kuagizia sukari?

6. Kwamba uliagizwa kuwa waziri wa KILIMO Ili kuua kabisa viwanda vya kuzalisha sukari Badala ya kuvikuza na kuviongeza?

Unasuburi nini Ofisini Hadi sasa, unataka Hadi ufukuzwe sio?

Basi endelea kusubiri!!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni 🙏
Kama hayawafaidii wananchi kupata sukari kwa gharama nafuu yana faida gani?
 
Dh
Salaam, Shalom!!

Ulipokuwa mbunge kabla ya kupewa Uwaziri ulionekana kama mzalendo wa Kweli Kwa HOJA ulizojenga!!

Ulimaanisha nini?

1. Kwamba, mpunga unaweza kuwa mbadala wa sukari?

2. Kwamba Ajira ambazo zinatolewa na viwanda vya sukari, zikipotea, Watanzania hao waende wapi?

3. Hiyo chain ya billion of shillings inayotengezwa na wakulima,vwasafirishaji, wafanyabiashara, ushuru na Kodi vikipotea, utafaidika na nini?

4. Kwamba kiafya sukari fake ya GMO ya Bei Chee Toka Thailand, Brazil na Dubai Ina ubora sawa na sukari yetu ya Kagera na Morogoro?

5. Kwamba tufunge viwanda vya sukari vinavyoexport sukari nje ya Nchi na kuleta dollar, Kisha Serikali ipate wapi pesa za kigeni kuagizia sukari?

6. Kwamba uliagizwa kuwa waziri wa KILIMO Ili kuua kabisa viwanda vya kuzalisha sukari Badala ya kuvikuza na kuviongeza?

Unasuburi nini Ofisini Hadi sasa, unataka Hadi ufukuzwe sio?

Basi endelea kusubiri!!!

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni 🙏
Dharau. Utamfanyaje ilhali kateuliwa na mama?
 
Rais anasema kuagiza sukari nje ni kuipa Nchi HASARA.

Sasa unaonaje ukijiuzulu?
 
Back
Top Bottom