Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
“Hatuwezi kuwa na irresponsible private sectors". - Msomali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba solution ni kuua viwanda vya sukari Kisha tuagize nje na kupata ten percent!!“Hatuwezi kuwa na irresponsible private sectors". - Msomali
Kashikiwa mpini huyoSijui nini kimempata Bashe!!
Ni shinikizo, au ufahamu wake umetekwa!!
Na hatumii kilevi kusema kwamba labda alitamka hayo sababu ya ulevi wa pombe!!
RUSHWA ni cancer, Ina TABIA ya kushambulia ufahamu,Ni kauli ya kifedhuri, kibri, jeuri, na dharau kubwa sana.
Sijui nini kimempata Bashe!!
Hilo ndilo lengo lake, badala ya kukuza viwanda vya ndani yeye anataka kuviuwa kabisaKwamba solution ni kuua viwanda vya sukari Kisha tuagize nje na kupata ten percent!!
Huu UOVU, mwisho umewadia.
Biashara ya uchuuzi iwe replacement ya viwanda vya sukari ndani ya nchi?Ili biashara ya sukari inoge kwa sana!!
Sijui nini kimempata Bashe!!
Ni shinikizo, au ufahamu wake umetekwa!!
Na hatumii kilevi kusema kwamba labda alitamka hayo sababu ya ulevi wa pombe!!
Kama hayawafaidii wananchi kupata sukari kwa gharama nafuu yana faida gani?Salaam, Shalom!!
Ulipokuwa mbunge kabla ya kupewa Uwaziri ulionekana kama mzalendo wa Kweli Kwa HOJA ulizojenga!!
Ulimaanisha nini?
1. Kwamba, mpunga unaweza kuwa mbadala wa sukari?
2. Kwamba Ajira ambazo zinatolewa na viwanda vya sukari, zikipotea, Watanzania hao waende wapi?
3. Hiyo chain ya billion of shillings inayotengezwa na wakulima,vwasafirishaji, wafanyabiashara, ushuru na Kodi vikipotea, utafaidika na nini?
4. Kwamba kiafya sukari fake ya GMO ya Bei Chee Toka Thailand, Brazil na Dubai Ina ubora sawa na sukari yetu ya Kagera na Morogoro?
5. Kwamba tufunge viwanda vya sukari vinavyoexport sukari nje ya Nchi na kuleta dollar, Kisha Serikali ipate wapi pesa za kigeni kuagizia sukari?
6. Kwamba uliagizwa kuwa waziri wa KILIMO Ili kuua kabisa viwanda vya kuzalisha sukari Badala ya kuvikuza na kuviongeza?
Unasuburi nini Ofisini Hadi sasa, unataka Hadi ufukuzwe sio?
Basi endelea kusubiri!!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni 🙏
Wewe ni bendera, upepo utakapoelekea nawe lazima uufuate.Kama hayawafaidii wananchi kupata sukari kwa gharama nafuu yana faida gani?
Ni Mtanzania mwenye asili ya Somalia.huyu bashi ni raia wa nchi gani?
Dharau. Utamfanyaje ilhali kateuliwa na mama?Salaam, Shalom!!
Ulipokuwa mbunge kabla ya kupewa Uwaziri ulionekana kama mzalendo wa Kweli Kwa HOJA ulizojenga!!
Ulimaanisha nini?
1. Kwamba, mpunga unaweza kuwa mbadala wa sukari?
2. Kwamba Ajira ambazo zinatolewa na viwanda vya sukari, zikipotea, Watanzania hao waende wapi?
3. Hiyo chain ya billion of shillings inayotengezwa na wakulima,vwasafirishaji, wafanyabiashara, ushuru na Kodi vikipotea, utafaidika na nini?
4. Kwamba kiafya sukari fake ya GMO ya Bei Chee Toka Thailand, Brazil na Dubai Ina ubora sawa na sukari yetu ya Kagera na Morogoro?
5. Kwamba tufunge viwanda vya sukari vinavyoexport sukari nje ya Nchi na kuleta dollar, Kisha Serikali ipate wapi pesa za kigeni kuagizia sukari?
6. Kwamba uliagizwa kuwa waziri wa KILIMO Ili kuua kabisa viwanda vya kuzalisha sukari Badala ya kuvikuza na kuviongeza?
Unasuburi nini Ofisini Hadi sasa, unataka Hadi ufukuzwe sio?
Basi endelea kusubiri!!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni 🙏