Ndugu kwa hapa dar es salaam GOMS ndo wapi? Iko maeneo gan? Ni wilaya au mtaa au Kijiji? Au ni behewa la TREN ?

Ndugu kwa hapa dar es salaam GOMS ndo wapi? Iko maeneo gan? Ni wilaya au mtaa au Kijiji? Au ni behewa la TREN ?

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Leo nikiwa zangu nimesimama sanamu ya askari pale posta mtaa wa samora Kuna kijana mmoja alikuja akaniuliuza jina ambalo mimi sijawahi kulisikia kabisa

Niko zangu nimesimama sijui hili wala hili mara nikasikia bro Mambo vip nami nikasema fresh ndugu yangu

Mshikaji akaniuliuza bro magari ya kwenda GOMS yanapaki wapi? Duh nikabaki nimeduwaa GOMS? Ndo wapi huko? Nikawa nawaza au behewa la TREN la mwendo kasi, lakini Mimi nikawambia sijui ndugu yangu

Sasa jamiiforum ndo mkubwa wao nimekuja kuulizia GOMS ndo wapi

Asante
 
Leo nikiwa zangu nimesimama sanamu ya askari pale posta mtaa wa samora Kuna kijana mmoja alikuja akaniuliuza jina ambalo mimi sijawahi kulisikia kabisa

Niko zangu nimesimama sijui hili wala hili mara nikasikia bro Mambo vip nami nikasema fresh ndugu yangu

Mshikaji akaniuliuza bro magari ya kwenda GOMS yanapaki wapi? Duh nikabaki nimeduwaa GOMS? Ndo wapi huko? Nikawa nawaza au behewa la TREN la mwendo kasi, lakini Mimi nikawambia sijui ndugu yangu

Sasa jamiiforum ndo mkubwa wao nimekuja kuulizia GOMS ndo wapi

Asante
Labla hukusikia vizuri,akisema Gongo la mboto! wewe ukasema gom
 
Leo nikiwa zangu nimesimama sanamu ya askari pale posta mtaa wa samora Kuna kijana mmoja alikuja akaniuliuza jina ambalo mimi sijawahi kulisikia kabisa

Niko zangu nimesimama sijui hili wala hili mara nikasikia bro Mambo vip nami nikasema fresh ndugu yangu

Mshikaji akaniuliuza bro magari ya kwenda GOMS yanapaki wapi? Duh nikabaki nimeduwaa GOMS? Ndo wapi huko? Nikawa nawaza au behewa la TREN la mwendo kasi, lakini Mimi nikawambia sijui ndugu yangu

Sasa jamiiforum ndo mkubwa wao nimekuja kuulizia GOMS ndo wapi

Asante
Soma huu uzi mwanzo mwisho una jibu la swali lako

 
Ni gongo ila sio la mlemavu au kinywaji kikali kisicho rasmi "hapana" ni la Mboto na sio Mboto muigizaji wa sanaa ya vichekesho, huyu Mboto mwenye gongo hata mimi sijawahi kumfahamu.
 
Kwanini wanaita GOMS
Leo nikiwa zangu nimesimama sanamu ya askari pale posta mtaa wa samora Kuna kijana mmoja alikuja akaniuliuza jina ambalo mimi sijawahi kulisikia kabisa

Niko zangu nimesimama sijui hili wala hili mara nikasikia bro Mambo vip nami nikasema fresh ndugu yangu

Mshikaji akaniuliuza bro magari ya kwenda GOMS yanapaki wapi? Duh nikabaki nimeduwaa GOMS? Ndo wapi huko? Nikawa nawaza au behewa la TREN la mwendo kasi, lakini Mimi nikawambia sijui ndugu yangu

Sasa jamiiforum ndo mkubwa wao nimekuja kuulizia GOMS ndo wapi

Asante
Hizi ni dharau Kwa kweli. Yaani goms hujui ni wapi?
 
kuna sehemu nyingine inaitwa chaks means chanika
 
Maneno hayo si mageni jijini utasikia UK= Ukonga, Gombs/gom =Gongo LA Mboto.nk
 
Back
Top Bottom