Ndugu lawama......mnao huko kwenu?

Ndugu lawama......mnao huko kwenu?

Mie napenda sana kusaidia ndugu zangu, huwa naona huruma sana lakini hawa ndugu ambao sio tumbo moja huwa na wivu sana aisee,hata umsaidie vipi ataleta za kuleta tu,huwez amini unampeleka ndugu ako nje kusoma unamuomba akija aje na aina fulani ya perfume anamtumia msg mama ake kulalamika, then anakosea inakuja kwako, ungekuwa wewe ungejisikiaje,unakaa kimya bila kulalamika anaamua kuja nayo, then kuondoka anakuja tena kuomba pesa,hii ipo sanasana unafanyaje coz roho mbaya huna unampa tu,ila sasa nahisi nimejifunza kitu fulani,hata ujifanye mwema kiasi gani bado watakutafuta wakuchomekee kidole mat,,,,,
<br />
<br /
Akija kuomba pesa ya kuondokea unamforwadia msg ya malalamiko aliyomtumia mama yake.
 
Ndugu wengine wanataka fedha tu lakini ukimtafutia shughuli lazima ataharibu. Shule hataki,biashara au kibarua atalalamika mi ndio ananiona mimi nina dhiki sana wa kufanya kazi kama hiyo! Baada ya wiki anakuja kuomba pesa.
 
Nakwambia unakuwa na mume kama mti wa matunda jangwani kila mtu anakimbilia kuchuma,ila inatakiwa uwe na busara ya hali ya juu coz ndio hivo tena mambo yetu ya kiafrika huwezi kwepa hii
 
Back
Top Bottom