Ndugu Mtanzania: Je unajua hili?

MM Mwanakijiji,

Jibu unalo Mwanakijiji! Kujua kwetu ni kuamsha "Cheche" za fikra na siku moja kuchukua hatua-hata kama ikiwa kuchukua sheria mikononi kwetu. At worst, it will be on the record for the future generation-who can not forever be put down by the perpetrators.
 
kujua ni kuamka,
kujua ni kujiandaa na unakoenda,
kujua ni ujasiri
kujua ndio elimu,
na kujua ni kupanga..
kujua ni ushujaa na kujipanga.......
Acha woga ambao kwa kujua kwako na kutaka wengine wasijue ni Uchoyo...weka mambo hazarani, mengi yameshawekwa hapa na yamesaidia japo si moja kwa moja lakni tunmeona mshtuko serikalini.......nipo tayari kununu kodi kwa ajiri ya wabunge wote nizipeleke....

tukikaa kimya watatuona kwa sababu hatujui na hatuna uwezo wa kujua basi watafunika kombe, lakini wakijua kwamba tunajua na tunauwezo pia wa kujua hata ikibidi kurisk maisha ya ka-nzi, hawatatuchezea tena na watakuwa makini.

tufanye hivi kwa ajiri ya nchi yetu na maslahi ya vizazi vijavyo...

lete habari,tupe raha ya uchungu wa nchi yetu...tujue tunafanya nini 2010..
 

Ndio maana kuna rafiki yangu mmoja tulikuwa naye Chuo tunasoma wote aliwahi kuniambia kuwa Wamarekani wanafunzi asilimia kubwa huwa hawapendi kutazama Habari kwasababu huwa inaleta hasira hata mwili kuwa tress kubwa sana, Kujua mara nyingi inaleta shida sana na ndio hata vita hasira, chuki kubwa katika Jamii yetu
 
usiwe na wasiwasi tuko kwenye final touches of what I would refer as "a groundbreaking, jaw-dropping, earth-shaking exclusive report". Watakaotaka kujua watapewa namna ya kukipata. Don't worry.
Tunajua na tunapenda kujua zaidi na bahati ya wale waliopo mijini kubahatika kwa upataji wa habari kwa njia nyingi zaidi (ikiwemo internet kama JF) ila bado muamko wa kweli haujatutikisaa...

heri yao vijijini kuelewaa kwa haraka dhana na umuhimu wa uongozi mbadala kutokana na mahubiri ya mikutano ya upinzanii.

nawapongeza karatu, tarime, kigoma kaskazini, moshi mjini, mpanda mashariki,pemba na busanda, biharamulo na mbeya vijijini (nguvu ya kulazimisha asiyeshinda ashinde kutumika) wameonyesha njia.

dar kama kitovu cha taarifa na mapokeo ya taarifaa sijaelewaa tunahitaji nn ili kuamka vemaa na kuenda katika njia ya hawa wapenda mabadiliko wa maeneo niliyotaja hapo juu..
 

Mimi nakubaliana na PJ kuwa tuwavue nguo hadharani kwa kuweka wazi yale yote maovu waliotenda na umma wa watanzania ujue hizo siri za viongozi ni nini.Nijuavyo mimi kuna watu ambao hawana subira watachukua hatua mara moja .Kama ni kuandamana na kuishinikiza serikali ing'oke madarakani wapo tayari na watafanya hivyo.

Lakini kuna wale waendao kwa staili ya kuzomea viongozi mafisadi na hili limekuwa likiwanyima sana usingizi.Kwa mfano zaira za wabunge hivi karibuni kukagua madhara ya mgodi wa North Mara kuna maeneo walizomewa na hawakusimama kuendesha vikao,na hata kwenye yalemaeneo waliyoendesha vikao hawakua na confidence ya kujibu kwa ufasaha maswali ya wananchi.Hii kitu inafanya kazi wandugu.

Nashauri kuwa kile tunachokijua tuwafahamishe watanzania wenzetu tena wale wa vijijini ili kwa umoja tufanye jambo la maana kwa kusema IT IS ENOUGH WITH THIS RUBISH.

MJJ bila kuwajulisha wengi kile tunachofahamu hatutaweza kupata critical mass ya kuleta mageuzi Tanzania.Tuweke mambo hadharani na wajue tumejua ili watembee wakiwa uchi na wakijua kuwa watanzania wote tunajua kuwa wako uchi tena wa mnyama.

Je itakuwa ni aibu ilioje kwa viongozi ambao kwa sasa wanaviburi vilivyopindukia ambao hawataki tujue ubadhirifu walioufanya kuwa ndio chanzo cha utajiri wao uliokufuru wakijua tumejua wasichotaka tujue tena kwa idadi kubwa ya watu si aibu hiyo?
 
mzee Mwanakijiji sijui Tanzania tunakoipeleka ebu sasa tujaribu Chama kingine tuone mambo yatakuwaje.
Let us be risk takers
 
mzee Mwanakijiji sijui Tanzania tunakoipeleka ebu sasa tujaribu Chama kingine tuone mambo yatakuwaje.
Let us be risk takers

Audrey na MKJJ tafadhari msitupeleke huko. Kumbe ni ninyi?? Mimi nilifikiri ni mafisadi ndiyo wanatupeleka kubaya!!! Taratibu!!!

Anyway, hii artcle ya MMKJJ imenigusa. May be ni bora kutokujua kinachoendela kuliko kujua halafu huna uwezo wa kubadilisha mambo au kuwyafanyia kazi kama PG wetu!!!!!
 

Hawahitaji kutupeleka huko... kudharau yale tuyajuayo, umbumbumbu au kutokujua kabisa kote kwaweza kutupeleka huko unakokuogopa. Hili Taifa letu kwa sasa jinsi lilivyo linajipeleka lenyewe!
 
Ninachokiona mimi kuna haja ya sisi tunaopata habari hizi kuwahamasisha wengine hasa wale ambao wanaamini kuwa siasa ni jambo baya wanasahau kuwa ndo inayoleta mustakabari wa nchi.

Hapa ndo penye kazi maana kama tutafanikiwa kuwahamasisha ndugu zetu basi hawa mafisidi lazima tutawashinda tu.

Kwani hamjasikia huko Malawi?mawaziri wote mafisadi hasa waliokuwepo kipindi cha Bakili Muluzu wako na hali mbaya maana wameanza kujaa rumande.

Wito wangu basi tukipata habari hakikisha walioko kwenye mailbox yako wanapata taarifa hiyo.hapo tutakuwa tunamultiply effect ya habari hizo zenye hamasa.
 
Baada ya kusoma post hii, nilikuwa naona, tungefungua Forum ya UFISADI. Hii ingewekwa kwa ajili ya kumbukumbu ya ufisadi mbalimbali uliokwisha fanyika na kwa waliohusika. Tatizo nililoliona, ni sisi wananchi tunakuwa busy sana katika kujihusisha na shughuli zetu binafsi, kiasi kwamba ufisadi unapoandikwa katika magazeti, ni rahisi kusoma na kusahau. Kama ingewekwa forum decicated to UFISADI, tungeweza kupitia kila siku na kujikumbusha ujinga unaondelea katika serikali yetu. Yani ingewekwa na ya quotation ovyo ovyo, ingekuwa fresh kabisa.
 
Ni kweli tusije kushangaa ikatokea hivyo;siunajua tena mazoea hujenga tabia.
 
mbona katika haya hujataja Mwananchi Gold? au umesamehe?
 
Thanks MKJJ, THE POST HAS MOTIVATED ME and 100% i would like to know what is albout kuhusu Meremeta na vikinda vyake, halafu vipi hatujapata Cheche kwa muda kidogo.

Halafu jamaa aliekeza jinsi ya kupata hiyo doc ya Meremeta, would you please assist on how i can find the bomb!
 
mimi nachoweza kusema ni kwamba sisi wenyewe vijana wa Kitanzania ndo tumeamua hawa jamaa i mean CCM waendelee kutubuluza, ukisoma ile hotuba ya Obama ailpokuwa Ghana aliongelea kuhusu nguvu kazi ya Vijana katika maendeleo ya bara la Afrika na aliipongeza sana Ghana kwa Vijana wamemonyesha Mwamko KATIKA KULETA MABADILIKO katika utawala wa nchi yao. mimi naamini kuwa pasipo vijana Kitanzania kuamka na kuingia kwenye siasa za Tanzania tutabaki kila siku kulalamika kwamba these guys are doing blunders, jamani twendeni tushiriki kaitka kuchagua Viongozi wetu, Tanzania Vijana ni zaidi ya asilimia 20, guys we can CHANGE the corrupted system na kuwa na Taifa lenye mwelekeo, lenye FURSA SAWA KWA WOTE na baadaye tukaenjoy matunda ya nchi yetu TAJIRI. Tusipokubali kuwa siasa ni sehemu ya MAMISHA YETU basi tutaendelea kulalamika tu, letts join the TASK FORCES za CHADEMA.

Mimi kama MTANZANIA kama watanzania wengine naona fursa niliyonayo ni kuhakikisha nashiriki 100% kwenye Siasa na kufanya hivo nilipokuwa Tanzania nilikuwa kwenye tASK FORCE kuhakikisha CHADEMA tunapata MAJIMBO YOTE YA GEITA.

NAWAOMBENI JAMANI TUSHIRIKI KWENYE SIASA, na tuifanye siasa kama shughuli zetu tunazofanya kutingizia viapato vyetu. Tuatafanikiwa tu.


Zidumu Fikra za Kimapinduzi.
 
mbona katika haya hujataja Mwananchi Gold? au umesamehe?

kama mnakumbuka Waziri Mkuu alisema suala la Meremeta haliwezi kujadiliwa hadharani. Sisi (Cheche) tumeamua kuliweka hadharani. Sasa hapa tunapima kwanza legal ramifications za kitendo chetu hicho ambacho kimsingi kinaendana na dhana muhimu katika nchi ya kidemokrasia yaani public intergrity.

Kwa vyovyote vile ilivyo by the end of next week.. kila kitu kitakuwa kimekamilika; yaani, njia ya malipo, delivery, conditions za mtu kupatia (siyo kwa sababu mtu amelipa tumehamisha haki zetu kwake)n.k Na kubwa zaidi ni la kuhakikisha kuwa kutokana na kazi ngumu timu yetu imefanya ili kulijulisha taifa "uozo wa hatari" wa siri hii watu wengine wasije kuanza kuchapa na kusambaza kana kwamba ni za kwao. Hivyo.. hii report kama zile mbili za nyuma (On Tanzania's Role's in Arms Trafficking and Open Letter to the British Gvt that was partly read in the House of Commons) zitakuwa zinalindwa na Haki Miliki.

Sisi wenyewe tuko matumbo joto... pressure inapanda, pressure inashuka.. kijasho chatiririka..
 


Hili limeshafanyiwa kazi. Unakaribishwa.

Tanzania Corruption Tracker - Home
 
Mbona unatufanya tunakosa amani katika mioyo yetu. Hili linalokuja linaogopesha ni hivi unapenda kujua lakini unajua labda ukijua litakuumiza utabaki kusema nafuu nisingejua.
Kwa maana hiyo hakuna suluhu ya swala la meremeta hata tukijua maana inaonekana tanzania kuna watu walio karibu sana na mungu huwezi kuwagusa kwa lolote kazi ipo kweli kweli
 
Mwanakijiji sie wananchi tunajua na tunajua mpaka tumezowea kujua bila ya kuona faida ya kujua kwake.

Tumeshajua mengi sana......sasa tunataka tuambiwe cha kufanya ili tuone faida ya kujua kwake.

It will not be fair enough that 'someone' has to do everything for me and you.it is time for me and you to 'think and think' what do we do,because this country is for me and you!this country is for OUR GENERATIONS!...me and you.as for me am still brainstorming what do we do

ni mtizamo tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…