Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
Hili kundi lina watu wengi sanaHatimaye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kundi lina watu wengi sanaHatimaye
Mkuu sleeeWadau Kuna Artical nimesoma wanasifi Asana Group AB+.
Hivyo Naomba kujua Ni kwanini Group AB+ inasemekana ni Group Zuri zaidi kuliko Group O+ au O-
Ni kitu gan hufanya group AB+ kuwa Zuri zaidi kuliko Magrup Mengine ya Damu.
Pia Kuna kitu kinaitwa Rhesus factor Kuna Damu hazina hii kitu na nyingine zinazo naomba menye Uelewa na hii kitu atujuze[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] pls
YeahTuna match 😋
Mkuu sleee
Madai kwamba kundi la damu AB+ ni imara zaidi kuliko kundi O hayana msingi wa kisayansi. Uwezo wa mwili kukabiliana na magonjwa au mazingira hutegemea mambo mengi, pamoja na jenetiki na afya kwa ujumla. Kila kundi la damu lina jukumu lake katika mfumo wa kinga, na hakuna ushahidi wa moja kuwa imara zaidi kuliko nyingine kwa kila hali.
Labda tupate ushauri wa wataalamu zaidi humu.
Cc; Watu8
Same here.
Mtaani kuna uvumi kuwa hawa group type hii hata ukimwi hawapati hivyo wao si lazima kutumia ndom kwenye mechi za ugenini..
Je inaweza kuwa kweli hii uran ?
Huo ni uongoo! Wamesema hizo ni hulka za group O. Sie tunaongoza kwa upole.Huwa mnakuwa wakorofi nyie...
🙏Naona kama jamaa kaandika kinyume, sijajua ni article ipi aliyoisoma lakini kwa jinsi ninavyofahamu kwa mujibu wa majarida mengi ya research yanaonesha watu waliona na group O ndio wapo na advantage ya kutokukumbana na madhila mengi...
Watu wenye wako na kundi A, B au AB ni magroup ambayo yana gene iitwayo ABO ambayo imekuwa kisababishi kikubwa cha vitu kama shambulio la moyo, kansa na ongezeko la rehamu kwenye damu...
Wewe ni dona kantriHospital za serikali ni 6000 tu. Langu ni group O+, ila maana yake sijui.
O- hapokei damu ya O+Km Mimi
We unaweza mpa damu mtu yyt
Lkn huwezi pokea Kwa yyt mpk awe na group km lako
Huo ni uongoo! Wamesema hizo ni hulka za group O. Sie tunaongoza kwa upole.
Si ndio maana duniani full tafrani.O wangekuwa wakorofi basi duniani kusingekalika maana ndio walio wengu...
🤣🤣🤣😀😀😀 Niliwahi kuwa na girl friend kwa jina Tayana, alianza yeye...na baadae nikaanza mimi cha moto nilikiona.
DuhKm Mimi
We unaweza mpa damu mtu yyt
Lkn huwezi pokea Kwa yyt mpk awe na group km lako
Basi nikiumwa tu nakuchek [emoji23][emoji23]Km Mimi
We unaweza mpa damu mtu yyt
Lkn huwezi pokea Kwa yyt mpk awe na group km lako