Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

Wadau Kuna Artical nimesoma wanasifi Asana Group AB+.
Hivyo Naomba kujua Ni kwanini Group AB+ inasemekana ni Group Zuri zaidi kuliko Group O+ au O-
Ni kitu gan hufanya group AB+ kuwa Zuri zaidi kuliko Magrup Mengine ya Damu.

Pia Kuna kitu kinaitwa Rhesus factor Kuna Damu hazina hii kitu na nyingine zinazo naomba menye Uelewa na hii kitu atujuze[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] pls
Mkuu sleee
Madai kwamba kundi la damu AB+ ni imara zaidi kuliko kundi O hayana msingi wa kisayansi. Uwezo wa mwili kukabiliana na magonjwa au mazingira hutegemea mambo mengi, pamoja na jenetiki na afya kwa ujumla. Kila kundi la damu lina jukumu lake katika mfumo wa kinga, na hakuna ushahidi wa moja kuwa imara zaidi kuliko nyingine kwa kila hali.

Labda tupate ushauri wa wataalamu zaidi humu.
Cc; Watu8
 
Ila kweli
Nikikunbuka nilivyokua mbabe,mtata,🙌😅😅🏃
Mungu tu kanibadirisha na utu uzima
Ilaaaa
😀😀😀 Niliwahi kuwa na girl friend kwa jina Tayana, alianza yeye...na baadae nikaanza mimi cha moto nilikiona.
 
Mkuu sleee
Madai kwamba kundi la damu AB+ ni imara zaidi kuliko kundi O hayana msingi wa kisayansi. Uwezo wa mwili kukabiliana na magonjwa au mazingira hutegemea mambo mengi, pamoja na jenetiki na afya kwa ujumla. Kila kundi la damu lina jukumu lake katika mfumo wa kinga, na hakuna ushahidi wa moja kuwa imara zaidi kuliko nyingine kwa kila hali.

Labda tupate ushauri wa wataalamu zaidi humu.
Cc; Watu8

Naona kama jamaa kaandika kinyume, sijajua ni article ipi aliyoisoma lakini kwa jinsi ninavyofahamu kwa mujibu wa majarida mengi ya research yanaonesha watu waliona na group O ndio wapo na advantage ya kutokukumbana na madhila mengi...

Watu wenye wako na kundi A, B au AB ni magroup ambayo yana gene iitwayo ABO ambayo imekuwa kisababishi kikubwa cha vitu kama shambulio la moyo, kansa na ongezeko la rehamu kwenye damu...
 
Mtaani kuna uvumi kuwa hawa group type hii hata ukimwi hawapati hivyo wao si lazima kutumia ndom kwenye mechi za ugenini..

Je inaweza kuwa kweli hii uran ?

Ni uvumi tu...

Ngoma anapata mtu yeyote tu kama akaiwa exposed na HIV...

Isipokuwa kuna baadhi ya magonjwa kama malaria, cholera n.k ikimpata mtu wa kundi hili basi huwa sio severe...
 
Naona kama jamaa kaandika kinyume, sijajua ni article ipi aliyoisoma lakini kwa jinsi ninavyofahamu kwa mujibu wa majarida mengi ya research yanaonesha watu waliona na group O ndio wapo na advantage ya kutokukumbana na madhila mengi...

Watu wenye wako na kundi A, B au AB ni magroup ambayo yana gene iitwayo ABO ambayo imekuwa kisababishi kikubwa cha vitu kama shambulio la moyo, kansa na ongezeko la rehamu kwenye damu...
🙏
 
Back
Top Bottom