Nendubotho Sunguya
Senior Member
- Oct 9, 2019
- 126
- 109
- Thread starter
- #41
hapana unakosea sanaThen CCM waliwapa mtu makini kabisaaa ndg. Waitara,aki-reflect akili za wananchi wake per se.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana unakosea sanaThen CCM waliwapa mtu makini kabisaaa ndg. Waitara,aki-reflect akili za wananchi wake per se.
yeye kazi yake ni kuwasilisha matatizo yaliyoko kwenye majimbo yake na yafanyiwe kazi kama hafanyi hivyo unafikiri nani atafanya?Hivi Watanzania lini ujinga huu utatutoka? Mbunge hana fedha za maendeleo ya jimbo! Mwenye fedha ni serikali na kupitia halmashauri na taasisi za serikali miradi inajengwa. Sasa kumdai mbunge ni kumuonea au kumbebesha mzigo usio wake.
Wabunge wengi hawafanyi majukumu yao.Wabunge wengi wa CCM waliopo mikoa ya Dar es salaam,Iringa na Arusha wanajisahau kutokana na mfumo wa uongozi ulivyo katika hiyo mikoa. Ni kazi sana kujua majukumu ya wakuu wa mikoa hiyo tajwa na viongozi wengine katika hizo sehemu. Wakuu wa mikoa wanataka kufanya kila kitu,usipokuwa makini watu wanaweza jua unazingua kumbe wakuu wa mikoa husika wamepora majukumu ya wengine.
TENA huko hali ndo mbaya sanaaaaBila kusahau barabara ya kitunda shule kuelekea kibeberu magole ni mbaya kabisa,daraja linalounganisha mwanagati na magole limeshindikana kujengwa ni mwendo wa kuogelea mto mzinga.mheshimiwa mbunge kimyaaaaaa
kazi yake ni NINI HASA?Ujinga hapa nimetumia kuonyesha uelewa wetu ni mdogo.
Sasa kama aliahidi kuwa atafanya hizo kazi ni kwa sababu alifahamu uelewa wa watu aliokuwa anawaahidi hawana uelewa, yaani ni wajinga.
Matatizo yenu anawasilisha lakini serikali iko hoi bin taabani kimapato.yeye kazi yake ni kuwasilisha matatizo yaliyoko kwenye majimbo yake na yafanyiwe kazi kama hafanyi hivyo unafikiri nani atafanya?
tumemtuma kuwakilisha.
au kazi ya mbunge ni NINI?
Kazi yake ni kuisimamia serikali inapotekeleza miradi yake. Bahati nzuri mbunge wenu ni sehemu ya serikali!kazi yake ni NINI HASA?
Ukonga ipi mnayoisema?
Kutoka banana kitunda hadi frem kumi lami ipo tena nzuri tu, msongora hadi cha kenge ni lami, magreda yanazunguka kusafisha barabara za mitaani nk kazi inafanyika na tunaiona.
Ila ukikutana nae ukathubutu kumuuliza habari za barabara atakujibu hivi: kaa hapa unywe bia barabara itakusaidia nini
.MATAGA
wapo wengi humu na id kama yako hiyoHv huyu mbunge nae ni member humu???
yaani makonda aje afanye ziara hili jimbo limesahaulika kabisaWananchi wa jimbo la ukonga ni kama hawapo dar es salaam wala sio Tanzania hii, wao ni kama wametengwa hata na serikali kuu, barabara hata bodaboda wanachagua pa kukanyaga barabara zilivyombovu.
Mkuu wa mkoa muheshimiwa makonda afanye ziara ya kikazi maeneo ya majohe, msongolwa huko ajionee kama huko ni ndani ya jiji lake au ni mkoa mwingine.
Sio ziara ahamie hukuwapo wengi humu na id kama yako hiyo
kama hayupo atafikishiwa tu ujumbe
yaani makonda aje afanye ziara hili jimbo limesahaulika kabisa
tatizo ni kubwa katika eneo kubwa la jimbo la ukonga hakupitiki.Rais akipita hataamini kama ni eneo la mjiniKutoka mombasa kwenda moshi bar lami ipo mbovu tu, lakini kutoka Moshi bar kwenda bomba mbili hakupitiki kabisa , imesababisha madaladala kuwa machache sana , bajaj haziendi na hata bodaboda xinadengua pia!!!