Ndugu na jamaa wa Suzy wa EATV mpelekeni haraka mtu wenu kwa psychiatrist

Ndugu na jamaa wa Suzy wa EATV mpelekeni haraka mtu wenu kwa psychiatrist

kanali mstaafu

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
4,318
Reaction score
4,105
Naona kama amedata mara anaacha kunyoa nywele za kwapa huku akizionyesha hadharani. Mara anataja wanaume waliomsokota na vimbwanga kibao..Fanyeni hima Mumnusuru ndugu yenu.
IMG_1268.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijui lakini kuna uwezekano katika pitapita za ujana kuna mazingira huenda aliumizwa kimapenzi na hii inawezekana kwa kuachwa na mtu aliyempenda au kulazimishwa kufanya mapenzi bila ridhaa yake na ikamletea maumivu ndani mwake.
hivyo ni kweli anahitaji mshauri japo changamoto ya hawa watu usipokuwa makini mshauri unaweza kujikuta unashawishiwa kurudi kulekule na mwisho ujiandae kwa maumivu kwa kuwa huwa wamebeba roho ya kisasi.
 
Huyu dada mende sana anayoyafanya sijui kama mwajili wake anamfuatilia kiukweli anatia aibu na kinyaa

Tunda la roho ni upendo
 
Its true. Huyu dada hakuwa hivi, alikuwa sista duu ila alikuwa na adabu kiasi fulani.

Nakumbuka kwenye page yake ya Instagram kuna kajamaa aliwahi kukarusha hewani, inanonyesha ndio kalikuwa ni rasmi wake na alikuwa ana malengo ya kumkunjia goti, sasa mwisho wa siku naona mambo yakaenda mrama na hawapo pamoja.

Kikawaida wanawake wanaofanya vituko mitandaoni wakifanya mambo yanayodhalilisha majina ya familia zao na wao binafsi wakijidhalilisha huwa ni matokeo ya kukata tamaa kunakoambatana na hasira za kukwama mambo yao.

Pale jamii inapowashangaa na kuhoji mwenendo wanaokwenda nao wao ndipo huzidisha ikiwa ni ishara ya kutaka jamii iwape attention na kutaka kujua nini hakipo sawa.

Huyu binti, asimamishwe kazi, apatiwe muda wa kupumzika na kuonana na watalaamu wa afya ya akili ili aweze kupewa msaada kabla hatujasikia siku amemeza sumu na kujiua au akafanya vituko vizito zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipeni namba yake nimpatie matibabu maalum ili akae sawa mtoto bado mbichi kabisa huyu wallah mazee
 
Its true. Huyu dada hakuwa hivi, alikuwa sista duu ila alikuwa na adabu kiasi fulani.

Nakumbuka kwenye page yake ya Instagram kuna kajamaa aliwahi kukarusha hewani, inanonyesha ndio kalikuwa ni rasmi wake na alikuwa ana malengo ya kumkunjia goti, sasa mwisho wa siku naona mambo yakaenda mrama na hawapo pamoja.

Kikawaida wanawake wanaofanya vituko mitandaoni wakifanya mambo yanayodhalilisha majina ya familia zao na wao binafsi wakijidhalilisha huwa ni matokeo ya kukata tamaa kunakoambatana na hasira za kukwama mambo yao.

Pale jamii inapowashangaa na kuhoji mwenendo wanaokwenda nao wao ndipo huzidisha ikiwa ni ishara ya kutaka jamii iwape attention na kutaka kujua nini hakipo sawa.

Huyu binti, asimamishwe kazi, apatiwe muda wa kupumzika na kuonana na watalaamu wa afya ya akili ili aweze kupewa msaada kabla hatujasikia siku amemeza sumu na kujiua au akafanya vituko vizito zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app

uko sahihi mkuu,ni normal reaction baada ya kuumizwa na maneno ya watu mtandaoni,anataka in desperation ku potray image kuwa hajali na maneno yenu ya mtandaoni,the truth is she is hurt,,,,she is trying soo hard ku cover her true feelings
 
Back
Top Bottom