PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nimshauri mwanangu akaoe ukoo hule nibadilishe d.n.A ya miswambanda hatari
Ohoooo!!!Double deef
Tulia mzee nenda kule mka-discuss Tundu lissu na TLS Vs kauli ya mwakyembe.
Usinambie huoni vitu hivyo
Samahani lakini
Kufyima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kunyuma lelo (In Nyakyusa accent)
Hatifikirii kitu cha maana....ni vitu vya hovyo tuKusema ukweli aliyeturoga sisi Watanzania alaaniwe
Yaani akili zetu zimegoma kufikiria mambo mengine.....kila jambo tunalinasibisha na mambo ya kipuuzi...........
Hao wageni wa jiji wangeenda mahakama ya ndizi manzese au mahakama ya mbuzi vingungutiView attachment 471447
Wakiondoka Mahakamani baada ya Masogange kutopandishwa mahakamani. BTW Agness kapata wapi Msambwanda vilee........... Ila mpiga picha Mungu anakuona
Basi swalaaamaIn brother k voice
Mpiga picha shikamooNazionea huruma chaga za vitanda [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
mpiga picha nakutunuku degree ya heshima Honoris Causa Summa Cum Laude
HatariiMisambwanda family
unashangaa mjukuu wa kiume ndiyo anapata msambwanda. be careful what you wish for.Ngoja nimshauri mwanangu akaoe ukoo hule nibadilishe d.n.A ya miswambanda hatari