Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Hivi kama walitaka kujua mengi ya Kiundani njia sahihi ilikuwa ni Kutomuua Kwanza bali wampige tu Risasi za Miguuni au Mikononi wayajue au Kumuua kisha waanze Kusumbua hivi Ndugu zake? Police wetu ni very unprofessional kwakweli.
Tayari wanajua sababu iliyomsukuma kuwafanyia ugaidi polisi - jambo ambalo hawakulitarajia kabisa toka kwa Mtanzania. Maswali yanayowasumbua sasa ni: wapi na lini alipata hiyo jeuri, mafunzo na silaha (kama si mmiliki halali)?

Watumie fursa hii kujua na kujiandaa kukutana na Watanzania "vichaa" wachache ambao hawatakubali kuwa "wapole" wakidhulumiwa au kunyanyaswa kama wengi tulivyo.
 
Wadau wanasema jamaa si Gaidi ila kuna dhulma kafanyiwa. Sema sina uhakika, lakini polisi wamefanya jambo la maana kuwachukua wanafamilia ili kukusanya dots
Vipi na ile kadi ya uanachama wa CHADEMA umepata majibu yake?
 
Inamaana hutambui polisi waliouawa na hilo gaidi?
Duuh, police wanne wameuawa na sita wamejeruhiwa na mtu moja aliyerusha risasi ovyo juu??? inahitajika mafunzo zaidi, na IGP Sirro (zero) angejiuzulu tu, hakuna jinsi jambazi (kada wa CCM) akiua PolisiCCM. Duuh ni hatari sana haya mambo.
 
Polisi wetu walivyo na uwezo hafifu watamsumbua huyo ndugu hata kama hajui kuhusu tukio alilofanya mtu mwingine.
 
Uko sahihi Hii pia yaweza kuwa ni kwa usalama wa ndugu wa marehemu pia
 
KWA MAKOSA GANI ?
 
Ni taratibu za kawaida
Acha mawenge yako wewe, taratibu za kawaida kuweka mtu asiye na hatia rumande? Isitoshe waliolambwa risasi ni Polisiccm sasa nani anaogopwa?
 
ccm polisi ZERO BRAINS
Shukuru kwa yoote mkuu! MMungu ndie Mjuzi wa yoote!
Hujui na mimi sijui kama kwa dhahama hiyo MMungu #Ametuepusha na #janga Kubwa!
[emoji116][emoji116]
1 THE. 5:18 shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

يَا بُنَيَّ إِنَّهَا إِن تَكُ مِثْقَالَ حَبَّةٍ مِّنْ خَرْدَلٍ فَتَكُن فِي صَخْرَةٍ أَوْ فِي السَّمَاوَاتِ أَوْ فِي الْأَرْضِ يَأْتِ بِهَا اللَّهُ ۚ إِنَّ اللَّهَ لَطِيفٌ خَبِيرٌ

[ LUQMAN - 16 ]
Ewe mwanangu! Kikiwapo kitu cha uzito wa chembe ya khardali kikawa ndani ya jabali au ndani ya mbingu au ndani ya ardhi, basi Mwenyezi Mungu atakileta. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa yaliyo fichika, Mwenye khabari za yote.
 
Hili linafanyika ili kutoa fundisho kwa mtu yoyote ambaye anataka kufanya ugaidi. Ukifanya ugaidi, utaisumbua na kuiletea matatizo familia yako kwa hiyo ni bora usifanye. Ni aina ya deterrent. Tena afadhali ya Bongo, kule Israel serikali wanavunja kabisa nyumba za familia ya yoyote anayefanya ugaidi ili iwe ni fundisho kwa yoyote anayetaka kufanya ugaidi.
 
Uko sahihi mkuu.
Hadi sasa hivi bado hawaamini kilichotokea maana wamekariri kwamba Watanzania ni watu wanyonge na wanaweza kuwafanya chochote
 
Ilikuwa ni lazima. Hata marafiki zake nao watatafutwa, hiyo ni njia tu ya upelelezi na kutaka kuujua ukweli.

Haishangazi
Wasiwasahau na viongozi wa CCM ,maana hao ndio walikuwa wanashinda nae na kuzunguka nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…