Unakua mzima kivipi?Wanavyodai unakuwa una Dalili zote lakini ukapimwa unaonekana mzima.
Mkuu uchawi upoImani potofu za kijinga na kipumbavu tu.
Uchawi haupo!
Ungekuwepo basi mimi ningekuwa nimesharogwa zamani sana maana wanaopenda nitokewe na mabaya ni wengi!
Mkuu uchawi upo
Nadhani ifikie stage mambo yawe wazi wasanii Wanakufa Sana na Ukimwi mambo yawe Sawa pengine wanaweza wakabadilika. KidogoWanajikanyaga mno jioni hii kwny kipindi cha clouds watu wake wa karibu wamesem aliugua kwa mwez mmoja na nusu
But hata huyo prod hajafany poa
kwa upeo wake wa kufikiri aliona kuwa amefanya poa "" Mkuu.."" mtu timamu hawezi kutoa kauli kama ile wakati "" mtu bado yupo hospital "" alipaswa kusema daktari kilichomuua Sam "" nikipi " nasio yeye""....Wanajikanyaga mno jioni hii kwny kipindi cha clouds watu wake wa karibu wamesem aliugua kwa mwez mmoja na nusu
But hata huyo prod hajafany poa
kweli kk nakwambia Hakuna watu wanafiki na wazandiki kama WATANZANIA dunia hii zunguka kote hilutaona zaid ya TANZANIA yaan jamaa alkua na hit songs sana lkn cja ajabu hakuna media ilokua ikipiga nyimbo zake.ola leo hii kila media inapiha nyimbo zake baad ya kufarik hii ni umajinuni mkubwa sana ata Jide alishasemaga akifa ndio utaskia wanapga nyimbo zakeKifo cha Sam wa ukweli kinanitatanisha sana hasa kwa hizi media kupiga nyimbo zake baada ya kufa wakati alivyokuwa hai tulikuwa hatusikii kama sio unafiki ni nini?
Hakuna watu wanafiki kama raia wa Tanzania. Nishakataa na haitatokea kuwa na kapani na Watanzania huku nilikoKifo cha Sam wa ukweli kinanitatanisha sana hasa kwa hizi media kupiga nyimbo zake baada ya kufa wakati alivyokuwa hai tulikuwa hatusikii kama sio unafiki ni nini?
Uchawi upo hata vitabu vya dini vimeweka wazi ila cha muhimu usiuamini wala kuusujudia_ upe kisogo na wenyewe utakupa kisogoImani potofu za kijinga na kipumbavu tu.
Uchawi haupo!
Ungekuwepo basi mimi ningekuwa nimesharogwa zamani sana maana wanaopenda nitokewe na mabaya ni wengi!