JOESKY
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 816
- 2,034
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ndugu zangu niko hapa kuomba nafasi ya kuunganishwa mradi wowote wa ujenzi ili niweze kupata kazi ya kibarua sina taaluma ya uhandisi mimi ni mwalimu ila mambo yamekuwa magumu sana nisaidieni nipate kibarua.
Kwa kifupi hali si nzuri naamini humu kuna wahandisi wengi tu wenye connections nisaidieni tafadhali.
Napatikana Mbeya mjini tafadhali kwa mawasiliano nawakaribisha PM.
Pia ninaweza kufanya kazi zifuatazo:
*Kufanya biashara ya mtandaoni (online marketing na ku operate pages za kibiashara)
*Sales and Marketing
*Research
Nina miaka 30
Sijaoa
Nina shahada ya ualimu BaEd
Nawatakia jumapili njema.
TUINUANE NDUGU ZANGU MAISHA MAKALI
Kwa kifupi hali si nzuri naamini humu kuna wahandisi wengi tu wenye connections nisaidieni tafadhali.
Napatikana Mbeya mjini tafadhali kwa mawasiliano nawakaribisha PM.
Pia ninaweza kufanya kazi zifuatazo:
*Kufanya biashara ya mtandaoni (online marketing na ku operate pages za kibiashara)
*Sales and Marketing
*Research
Nina miaka 30
Sijaoa
Nina shahada ya ualimu BaEd
Nawatakia jumapili njema.
TUINUANE NDUGU ZANGU MAISHA MAKALI