Ndugu wakulima na wafugaji sema changamoto yako kuhusu mazao yako na kila aina ya mifugo Ili wataalamu wakusaidie kutatua changamoto hiyo

Ahsante mkuu,nasubiria
 
Mkuu nashkuru sana mi nafkiri nitumie tu ya kiwandani kutokana na upatikanaji wa mbolea ya samadi kiongozi.
 
Mkuu asante sana umekuja wakati muafaka kwa sababu namimi nina changamoto yangu.

Kuku wangu (Malawi Breed) wameshafikisha umri wa kuanza kutaga toka mwaka jana mwezi 11 lakini mpaka leo hawajaanza kutaga. Yan ukiingia bandani unaokota mayai hafiki 8. Kuku wap 150 na wanapata chakula na mboga za majani enye mchanganyiko safi na salama. Tatizo ni nini?
 
Pole sana asee.....Mkuu naweza pata picha ama ka video kafupi kabla sijakujibu?

Dawa ya mafuta ulinunua dawa Gani?

Naona haupo hewani namna ninavyouliza ndo Ingekuwa rahisi sana kufanya maamzi sahihi ya dawa.

Utanunua hii dawa Kisha fuata namuna ya kutumia Taylosin doxycline(Doxin)


Napendekeza nunua ya uholanzi inauzwa 17-20k ni Antibiotics nzuri mno hutojutia.

Hizo flubani ni mafuta ya mwanzo tu yakikolea huwezi ona ndani.


Kwenye kuharisha kinyesi cheusi nadhani unawapa na mashudu ya alizeti sio?


Wape dawa ya Esb³ ukikoswa tumia Trimazine 30%
 
Pole mkuu. Wana miezi mingapi Hadi Sasa?
Chakula unawapa Kwa uwiano Gani?
 
Chanjo uliwapa ya kideri?
 
Hii Waganda wanatumia saana, shukrani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…