Ndugu walivyochangia matatizo ya Pogba na Mwakinyo

Omba yasikukute mkuu familia yako iwe mstari wa mbele kutaka upotee hayo mambo yasikie tu kwa jirani.
Ukiidharau familia yako basi Jiandae ulimwengu kudharau....familia zinaheshimiwa tu,,,

Elewa kuna masikini na matajiri ktk ndugu na kitu kinawaunganusha ni heshima na upendo

Usije ukabarikiwa Leo then ukajiona mkubwa kuliko ndugu na familia...

Mwakinyo na Pogba sio mifano mizuri....wanastahili wanachopitia....ni mfumo tu.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Ndugu ambao hawaridhiki na kutosheka na unacho wapa si utakufa masikini ww
 
Ndugu ambao hawaridhiki na kutosheka na unacho wapa si utakufa masikini ww
Ufanye kufuru za matumizi afu useme ndugu zako hawaliziki na kutosheka!?

Pesa siku zote hazitoshi....endelea kutoa kadiri unavyobarikiwa..

Tena wawezeshe wajitegemee....hutoona iyo kadhia ya kina Mwankinyo ya kujiona Bora huko hamna kitu...

Pogba ni mshenzi tu...ngoja mkewe mzungu achukue chake ndoa iivunjika, ndio utaelewa kuwa ...kuwekeza kwa ndugu na familia ni muhimu kuliko Anasa za Maisha ya kinyamwezi.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hao ni ndugu lawama...
 
Inaonekana hufuatilii vitu mkuu na Adebayor naye alivyojitoa kwa ndugu mwisho wa siku hakuna alichoambulia zaidi ya matusi kutoka kwa ndugu.
 
Wahenga walisema "Kikulacho Kinguoni Mwako". Hali ndivyo ilivyo kwenye familia nyingi za Africa, mwanafamilia akifanikiwa wataanza kumsema Kwa kila maneno kuwa Hanamsaada hata kama amewasaidia. Ogopa sana ndugu kujua mipango yako. Wenzetu waarabu, wahindi, wachina na wazungu Kwa ujumla akifanikiwa mmoja wanamsapoti na wanakuwa kitu kimoja.
 
Acha nadharia za kiduanzi mkuu. Ndugu zetu ukiwa nacho wanataka uwasaidie kila siku, kila saa, kila kitu.

Wako sahihi sana. Kipindi unasaidia ndugu hapohapo watakusifia huku mioyo inawafukuta kwa nn wewe. Ukianguka wanafanya sherehe.....

Potelea mbali na ndugu wa hivi
 
Tenda wema usingoje shukrani........msemo huu una maana kubwa ktk kuishi na watu, ndugu, hata na familia ....



Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Mtu anae mtetea Mwakinyo ana shida kichwani
Mwakinyo, kwanza hana adabu, hashauriki nk. Nk. Nakumbuka, alishapewa ushauri na Matumla, tena kwa nia nzuri, alivyojibiwa, hana hamu! Haji Manara, anazo salamu zake!
Anajiona Tanzania nzima, yeye ni bondia maalum. Anadai mabondia wa Tanzania kama wanahamu ya kukutana naye, basi waendelee kumuomba Mungu!
 
Mwakinyo mganga wake ndiyo anayemwingiza chaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…