Ndugu wananiita mchawi wakati walilelewa na baba yangu mzazi

Ndugu wananiita mchawi wakati walilelewa na baba yangu mzazi

Huyu dogo Mchawi kweli,ugomvi na babaake alitaka urithi mzee yuko hai,tena baada ya kushindwa loge huko.hana maana
 
Hiki chama watu wakew wako vipi sijui ati kwa umri huo bado unalelewa mpaka unafukuzwa !
 
Kweli wewe hauko sawa. Lazima ukapimwe. Hivi hapo umeandika wewe mwenyewe? Ndio una degree kweli? Daah...! I see wewe ni kilaza. Sidhani kama kuna mtu wa kukupa connection,kama tu babaako unataka kumnyang'anya mke wake wewe ni kilaza wa kuogopwa
 
Msomi mzima unamdanganya mama yako akavunje ndoa?????.

Unajua anayetaka kuvunja ndoa Kwa mujibu wa sheria hana chake (Mali)???

Mzee wako angepata washauri wa masuala ya sheria wangemwambia yeye akatae kuvunja ndoa ili ionekane maza yako ndio anavunja ( mkataba) so angeambulia patupu.

Kijana tafuta kazi acha kugombanisha familia ili upate urithi. Elimu uliyonayo ni urithi tosha
 
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 37 kwetu tumezaliwa 2 tu, ila kuna ndugu zangu kama wanne (4) walilelewa na baba yangu mzazi katika makuzi yao, baada ya baba yangu kunifukuza nyumbani miezi 5 sasa imepita kisa tu nilimbembeleza kujiunga na chama changu cha mapinduzi, vile vile kupelekea kumfukuza na mama yangu pia ambaye alikuwa mara kwa mara uenda kudhulia vikao vya chama chetu cha mapinduzi, mimi nilimshauri mama yangu aende mahakaani kudai taraka ili waachane na baba wagawane maali ili mimi na mama tukatafute sehemu yetu tukae tuepukane na manyanyaso ya baba

Mama baada ya kuondoka kwa baba alikuwa akikaa kwa dada yake ambaye anaishi maeneo ya kijichi, sasa siku ya jumamosi mama alinipigia simu kuwa anaenda kwa baba kudai taraka, baba akikataa kumpa taraka moja kwa moja anaenda mahakamani, siku ya jumapili mama alienda moja kwa moja nyumbani kwa baba kudai taraka, ila kilichotokea ni kuwa mama tangu aende kwa baba pale nyumbani hajanijulisha chochote kile na nilikuwa nikipiga simu hapokei, jana jioni ndio aliniambia kuwa basi ameghailisha mambo ya taraka, ndugu zangu niliishiwa nguvu sana maana mama uwa ananisikiliza sana kwa kila kitu, nikahisi ndugu zangu watakuwa wanamchezea kiuchawi

Kumbukeni ndugu zangu sina kazi wala kibarua nahishi kwa marafiki tu, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yeyote yale nina degree ya marketing nimesoma pale UDSM-UDBS, nilitegemea iyo ela ya mama akigawana maali na baba baada ya kupewa taraka na mimi nipatepo mtaji, nimeumia sana ndugu zangu, mpaka kupelekea ndugu wa upande wa baba kuniita mimi mchawi

Naombeni mwenye kazi yeyote anisaidie ndugu zangu napitia hali ngumu sana kimaisha na baba hanitaki kabisa kwake kisa tu nipo chama cha mapinduzi na alinitimua wakati mimi ni mtoto wa pekee wa kiume kwake, nilishamshtaki ofisi za kata ila kata wakasema mimi sina akili timamu, na najua baba aliwapa pesa wale viongozi wa ofisi ya kata ili kunikomoa na kuto kunisikiliza malalamiko yangu

Kwa sasa nipo Dar es Salaam boko. Mwenye connection anisaidie
We jamaa unatakiwa kuchapwa fimbo nyingi tu. Kumbe ulikuwa shule ya mameneja, umemaliza mwaka gani?
 
Kati ya baba yako na ccm, nani anayekufaa?
 
Miaka 38 una mu advise mama yako aachane na baba ako eti kisa apate mali?

Kwani hukuona njia nyingne ya kutafuta solution?
 
Acha kupigana vita ndogo ndogo zisizo na tija. Sasa ukiitwa mchawi umekua mchawi kweli?
Pigana vita ya kuboresha Maisha ya familia yako.
Usisikilize umbea, umbea waachie wavaa Madera na wanawake wasio na waume aka single mothers
 
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 37 kwetu tumezaliwa 2 tu, ila kuna ndugu zangu kama wanne (4) walilelewa na baba yangu mzazi katika makuzi yao, baada ya baba yangu kunifukuza nyumbani miezi 5 sasa imepita kisa tu nilimbembeleza kujiunga na chama changu cha mapinduzi, vile vile kupelekea kumfukuza na mama yangu pia ambaye alikuwa mara kwa mara uenda kudhulia vikao vya chama chetu cha mapinduzi, mimi nilimshauri mama yangu aende mahakaani kudai taraka ili waachane na baba wagawane maali ili mimi na mama tukatafute sehemu yetu tukae tuepukane na manyanyaso ya baba

Mama baada ya kuondoka kwa baba alikuwa akikaa kwa dada yake ambaye anaishi maeneo ya kijichi, sasa siku ya jumamosi mama alinipigia simu kuwa anaenda kwa baba kudai taraka, baba akikataa kumpa taraka moja kwa moja anaenda mahakamani, siku ya jumapili mama alienda moja kwa moja nyumbani kwa baba kudai taraka, ila kilichotokea ni kuwa mama tangu aende kwa baba pale nyumbani hajanijulisha chochote kile na nilikuwa nikipiga simu hapokei, jana jioni ndio aliniambia kuwa basi ameghailisha mambo ya taraka, ndugu zangu niliishiwa nguvu sana maana mama uwa ananisikiliza sana kwa kila kitu, nikahisi ndugu zangu watakuwa wanamchezea kiuchawi

Kumbukeni ndugu zangu sina kazi wala kibarua nahishi kwa marafiki tu, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yeyote yale nina degree ya marketing nimesoma pale UDSM-UDBS, nilitegemea iyo ela ya mama akigawana maali na baba baada ya kupewa taraka na mimi nipatepo mtaji, nimeumia sana ndugu zangu, mpaka kupelekea ndugu wa upande wa baba kuniita mimi mchawi

Naombeni mwenye kazi yeyote anisaidie ndugu zangu napitia hali ngumu sana kimaisha na baba hanitaki kabisa kwake kisa tu nipo chama cha mapinduzi na alinitimua wakati mimi ni mtoto wa pekee wa kiume kwake, nilishamshtaki ofisi za kata ila kata wakasema mimi sina akili timamu, na najua baba aliwapa pesa wale viongozi wa ofisi ya kata ili kunikomoa na kuto kunisikiliza malalamiko yangu

Kwa sasa nipo Dar es Salaam boko. Mwenye connection anisaidie
...Na miaka yako 37 unaunga Mkono Wazazi waachane kwa Sababu ya Vyama vya Siasa tu, halafu unakuja JF kulia lia?
Nenda Chamani ukaombe Msaada...!
 
Bro..!! Mbna kama ukwama hiv.... Yan ww umezaliwa umekuta baba yako na mama yako wanaishi pamoja leo hii umekuwa kiasi gan mpaka umeanza kumshauri mama yako aachane na baba yako..??? Aisee unahitaji kupimwa akili... Kijana 37yrs msomi unataka mama yako aachane na baba yako.... Kaa chini jitafakari upya kijana.... Kama kweli ww sio mchawi kama ndg zako walivyokwambia basi ww una matatizo ya akili.
 
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 37 kwetu tumezaliwa 2 tu, ila kuna ndugu zangu kama wanne (4) walilelewa na baba yangu mzazi katika makuzi yao, baada ya baba yangu kunifukuza nyumbani miezi 5 sasa imepita kisa tu nilimbembeleza kujiunga na chama changu cha mapinduzi, vile vile kupelekea kumfukuza na mama yangu pia ambaye alikuwa mara kwa mara uenda kudhulia vikao vya chama chetu cha mapinduzi, mimi nilimshauri mama yangu aende mahakaani kudai taraka ili waachane na baba wagawane maali ili mimi na mama tukatafute sehemu yetu tukae tuepukane na manyanyaso ya baba

Mama baada ya kuondoka kwa baba alikuwa akikaa kwa dada yake ambaye anaishi maeneo ya kijichi, sasa siku ya jumamosi mama alinipigia simu kuwa anaenda kwa baba kudai taraka, baba akikataa kumpa taraka moja kwa moja anaenda mahakamani, siku ya jumapili mama alienda moja kwa moja nyumbani kwa baba kudai taraka, ila kilichotokea ni kuwa mama tangu aende kwa baba pale nyumbani hajanijulisha chochote kile na nilikuwa nikipiga simu hapokei, jana jioni ndio aliniambia kuwa basi ameghailisha mambo ya taraka, ndugu zangu niliishiwa nguvu sana maana mama uwa ananisikiliza sana kwa kila kitu, nikahisi ndugu zangu watakuwa wanamchezea kiuchawi

Kumbukeni ndugu zangu sina kazi wala kibarua nahishi kwa marafiki tu, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yeyote yale nina degree ya marketing nimesoma pale UDSM-UDBS, nilitegemea iyo ela ya mama akigawana maali na baba baada ya kupewa taraka na mimi nipatepo mtaji, nimeumia sana ndugu zangu, mpaka kupelekea ndugu wa upande wa baba kuniita mimi mchawi

Naombeni mwenye kazi yeyote anisaidie ndugu zangu napitia hali ngumu sana kimaisha na baba hanitaki kabisa kwake kisa tu nipo chama cha mapinduzi na alinitimua wakati mimi ni mtoto wa pekee wa kiume kwake, nilishamshtaki ofisi za kata ila kata wakasema mimi sina akili timamu, na najua baba aliwapa pesa wale viongozi wa ofisi ya kata ili kunikomoa na kuto kunisikiliza malalamiko yangu

Kwa sasa nipo Dar es Salaam boko. Mwenye connection anisaidie
Naona kila baada ya miezi 3 unamlalamikia huyo baba yako.

Kushindwa kwako kupata ajira ni kwa sababu huyo kiongozi wako wa ccm uongozi wake kutoweka mikakati ya kuboresha ustawi wa jamii, hivyo ni makosa kumlaumu baba yako maana tayari alishakupatia elimu.

Ushauri, kama hutobadili mwenendo wa kifikra utapatwa na msongo wa mawazo ambao unaweza sababisha kujiua au kuu ili upate mali
 
Huyu jamaa ana depression au anataka attention tu. Nimefuatilia nyuzi zake kila uzi lazima uwe na repetition ya elimu, umri na sehemu anayoishi sababu anatambua fika kua ndio sehemu atakayopata reacation na sio mada aliyowasilisha.
 
Back
Top Bottom