Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsoma vizuri mkuu? Yeye amesema alisoma kwa kuunga unga kwa kutumia misaada ya ndugu na jamaa! Halafu hapo hapo analaumu kuwa ndugu ni wabaya! Nadhani tatizo alikuwa nalo yeye na siyo ndugu.Safi kabisa!
Kuna baadhi ya Koo ni Kama zina laana ...jitahudi usirudishe mawasiliano nao labda wazazi. All the best
Yeye mwenyewe ameanza kwa kusema ''Baada ya kusoma kwa kuunga unga kwa msaada wa ndugu jamaa na marafiki nilifanikiwa kufaulu chuo kikuu na kumaliza kwa grade nzuri.......''.Kikubwa ni kuwa real tu brother kama huna unamwambia mtu sina usipepese wala kumumunya.
Na mtu akikuomba kiasi flan cha pesa lets say laki1 unampatia robo yake tu yaan elfu25 tu hiyo nyengine akaparangane kwengine huko akili yake ichangamke.
Pia usipende kutoa ahadi yoyote ile ya pesa yaan kama hauna pesa kwa wakati husika unamwambia mtu sina.
Umemsoma vizuri mkuu? Yeye amesema alisoma kwa kuunga unga kwa kutumia misaada ya ndugu na jamaa! Halafu hapo hapo analaumu kuwa ndugu ni wabaya! Nadhani tatizo alikuwa nalo yeye na siyo ndugu.